Magufuli, Lissu, Maalim, Membe, Spunda, Mrema, Mbatia nk, tuungane sote kuwataka tume na wote waliopewa mamlaka ya kusimamia uchaguzi huu kuwa tunataka uchaguzi ulio huru na wako.
Mgombea asiyeuona umuhimu wa uchaguzi uliohuru na wa haki, hatufai!
Vivyo hivyo chama kisichouona umuhimu wa uchaguzi uliohuru na wa haki, basi nacho kitakuwa hakitufai!
Amani haidondoki kama ya mvua.