Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,639
Vijana wanahitaji ushauri. Vijana lazima wasali,watafakari,wamche Mungu.
Watu wengi ambao hawajasoma Msahafu wanataka kuwapotosha vijana.
Vijana wadogo hata hawajafikisha umri wa miaka ishirini, wanaadhibiwa vikali badala ya kupewa ushauri.
Usiku ni wakati wa kupumzika. Sasa ukihangaika usiku ukipata matatizo unataka kumlaumu nani?.
Muhimu kwa vijana waelewe Amri za Mungu hazipo Kumi. Ipo moja tu.
Mwanaume asivae gauni. Basi,hakuna Amri nyingine.
Watu wengi ambao hawajasoma Msahafu wanataka kuwapotosha vijana.
Vijana wadogo hata hawajafikisha umri wa miaka ishirini, wanaadhibiwa vikali badala ya kupewa ushauri.
Usiku ni wakati wa kupumzika. Sasa ukihangaika usiku ukipata matatizo unataka kumlaumu nani?.
Muhimu kwa vijana waelewe Amri za Mungu hazipo Kumi. Ipo moja tu.
Mwanaume asivae gauni. Basi,hakuna Amri nyingine.