Ushauri Kwa Tundu Lissu

Ushauri Kwa Tundu Lissu

Hapo tu alipo ufahamu wake na ujazo wa maarifa na ujuzi katika fani ya Sheria & politics and his general knowledge in large is more than a PhD holder..

Labda kama unamshauri apate kutafuta recognition by papers i.e atambulishe PhD yake kama makaratasi yaitwayo "cheti/certification"
Uko sahihi kabisa. Anaweza kupublish hizo papers zake and the like after registering at a renowned university watamkubali. Uko sahihi kabisa PhD by dissertation
 
Lissu has never impressed me hata awe na titles zipi.
Charity begins at home, You Get the concept


Your Father has impressed??????

Who?????

Mention the name rather than your blood related!!!!!!!
 
Kwa msomi aina ya Lissu akisoma PhD kwa njia ya "sandwich program" ingalimfaa zaidi kutokana uelewa wake mpana kwa vitendo katika masuala ya sheria.
exactly! Sandwich inamfaa zaidi
 
He can get all the PhD's you want him to get, lakini kwenye uongozi wa aina yoyote nchi hii hafai. Anaweza kuwa lecturer mzuri chuo fulani, lakini hafai kuwa kiongozi. Uongozi ni kwa watu wenye intelligence, siyo kwa watu wenye academic excellence peke yake!
Hafai na amekua mbunge miaka 10 let alone Rais wa wanasheria? Kuna watu sijui mna reasoning ya ajabu sana. JPM na ukichaa wote ule alikua Rais ndio sembuse Lissu kuwa kiongozi?
 
Lissu has never impressed me hata awe na titles zipi.
It doesn't matter, ana impress the Chadema fraternity na wote waliompigia kura 2020.


Hao wote walimfuata wewe hata 10 huwezi washawishi, alafu eti hakuimpress? Kwani who the hell are you?
 
Back
Top Bottom