Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,188
- 68,528
Hapo alipo ni zaidi ya Avarage Profesa.Kwa msomi aina ya Lissu akisoma PhD kwa njia ya "sandwich program" ingalimfaa zaidi kutokana uelewa wake mpana kwa vitendo katika masuala ya sheria.
Hapo alipo ni zaidi ya Avarage Profesa.Kwa msomi aina ya Lissu akisoma PhD kwa njia ya "sandwich program" ingalimfaa zaidi kutokana uelewa wake mpana kwa vitendo katika masuala ya sheria.
Roho mbaya.....typical africanLissu has never impressed me hata awe na titles zipi.
Ushauri! Au umesoma content kabla ya title?Kwamba Lissu anataka kusoma PhD?
Kama Jpm aliweza kuwa kiongozi nchi hii sidhani kama kuna Mtanzania mwenye akili timamu anashindwaHe can get all the PhD's you want him to get, lakini kwenye uongozi wa aina yoyote nchi hii hafai. Anaweza kuwa lecturer mzuri chuo fulani, lakini hafai kuwa kiongozi. Uongozi ni kwa watu wenye intelligence, siyo kwa watu wenye academic excellence peke yake!
Barrack Obama ana Doctorate, tena Havard university bt
Haswa. Nakazia.
Bila haya hasi chini
Who are you? Ukiona hivi ujue wewe unatakiwa kuwa impressed na akina Babu Tale, Joti and the like. Sorry to sayLissu has never impressed me hata awe na titles zipi.
I am me.Who are you? Ukiona hivi ujue wewe unatakiwa kuwa impressed na akina Babu Tale, Joti and the like. Sorry to say
We koma,Kama Jpm aliweza kuwa kiongozi nchi hii sidhani kama kuna Mtanzania mwenye akili timamu anashindwa
Kama magufuli aliweza kua rais WA Tanzania, Lisu Nini kitamshinda??acha ujuaji mwingiHe can get all the PhD's you want him to get, lakini kwenye uongozi wa aina yoyote nchi hii hafai. Anaweza kuwa lecturer mzuri chuo fulani, lakini hafai kuwa kiongozi. Uongozi ni kwa watu wenye intelligence, siyo kwa watu wenye academic excellence peke yake!
Akili kubwa ?!We koma,
Baada ya mwl NYERERE, Magu alikuwa brain kubwa Ile.
Magu alikuwa na AKILI kubwa,
Angelou's.
A PROPHET . Na itabaki hivyo hivyo.
Hahahaa vichekeshoWe koma,
Baada ya mwl NYERERE, Magu alikuwa brain kubwa Ile.
Magu alikuwa na AKILI kubwa,
Angelou's.
A PROPHET . Na itabaki hivyo hivyo.
Kama unaona hivyo ni sawa, naheshimu maoni Yako.Akili kubwa ?!
Daahh aiseeh basi tu ni kwa kuwa Ccm imejisokota ndani vyombo. Kuwa wakimleta mgombea ni lazima apitishwe. Ila yule hakuwa kiongozi labda nyapara
Wapi amesema anataka kuku-impress? Mpwa mbona kama vile una kipele kinawasha?! Kama haikuhusu just ignore it usijibebeshe mizigo isiyokuhusu! Your future matters 😁I am me.
Sio lazima niwe impressed na huyo kilaza wenu.
What about mbowe!Yes, he must pursue a PhD in Law. He is a PhD material
Akili ya Mbowe ni zaidi ya PHD,What about mbowe!
Sukuma gang mnaisoma namba. Na tutawanyoosha mnooo.I am me.
Sio lazima niwe impressed na huyo kilaza wenu.
Lissu kiasili anayo Phd haitaji ongezeko lolote lile, na hata likitokea kuongezea title binafsi napendekeza, Mzeee basi iwe hivyo, its Honorary enough kwa mila na tamaduni zetu....Nilitaka kupendekeza "Mwana Mutapa" (ukisoma historia ya miundo ya uongozi Afrika nyakati hizo zake)utaelewa vizuri. Haijalishi ila ingeonekana kana utani lakini kiuhalisia ndio ingemufaa hii phd ni ya tamaduni ngeni Ni lugha tu hekima na uwezo ni uleule(maana)Tujuane Kwa uwezo Si MAKARATASI,
Maana AKILI mtu huzaliwa nayo, bt ELIMU anaongezea tu.
Hilo ni kundi la kufikirika,Sukuma gang mnaisoma namba. Na tutawanyoosha mnooo.
Utakua umeshanielewa.Wapi amesema anataka kuku-impress? Mpwa mbona kama vile una kipele kinawasha?! Kama haikuhusu just ignore it usijibebeshe mizigo isiyokuhusu! Your future matters 😁