machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 798
- 1,681
Selikali iongeze tsh 500 kwenye Kila bidhaa ili afya na matibabu yote yawe bure. Asante
Zanzibar wanachukua posho huku kutibia wazenjiMbona zanzibar hazijaongezwa bidhaa na wanatibiwa bure, huku tumekwamia wapi?
Mkuu upo salama ? Mbona matusiFather umefikiri kwa kutumia mkuundu sio?
Yani pipi kifua iuzwe550?
Aaaha kumbe Zanzibar wanatibiwa bure. Me Hilo silijui hapo ndo jambo Zima la muungano linakuja kuwa halina maanaMbona zanzibar hazijaongezwa bidhaa na wanatibiwa bure, huku tumekwamia wapi?
Inashindikanaje mbona nauli saivi 600 na tulikuwa tunasafiri kwa 400 tuKwahio kiberiti kiuzwe 600 au sio?
Selikali iongeze tsh 500 kwenye Kila bidhaa ili afya na matibabu yote yawe bure. Asante
Mimi siyo muumini wa Tozo ni muumini wa KUSIMAMIA RASIMALI za nchi vizuri ili kupunguza ugumu wa Maisha kwa wananchi na kuondokana na mawazo ya tozo na KUKOPA na kuongeza deni la Taifa Kila Mwaka.Selikali iongeze tsh 500 kwenye Kila bidhaa ili afya na matibabu yote yawe bure. Asante
Mmmh kwa kulinda rasilimali tutachelewa sana maana Kuna uvumi unasema watu watu wanamikataba Hadi ya miaka ishirini kwhy kuwatoa inakuwa changanamotoMimi siyo muumini wa Tozo ni muumini wa KUSIMAMIA RASIMALI za nchi vizuri ili kupunguza ugumu wa Maisha kwa wananchi na kuondokana na mawazo ya tozo na KUKOPA na kuongeza deni la Taifa Kila Mwaka.
Uzalendo haipo tena watu wanakula kadri ya urefu wa Kamba zao.
Chao
Ndio mkuu mbona daladala ilikuwa 400 saivi ni 600Kwamba pipi iuzwe 600, zile chama za 200 ziuzwe 800.
Mmmh kwa kulinda rasilimali tutachelewa sana maana Kuna uvumi unasema watu watu wanamikataba Hadi ya miaka ishirini kwhy kuwatoa inakuwa changanamoto
Sijalipwa na yeyote mimi ni job less hapa yenyewe nimeweka bando la jero 245mb na VPN inavopeleka moto sizani kama saa Tisa mbs zitatoboa. Nirudi kwako mbona matusi mkuuManiner Weeh! Umelipwa shingapi?