Ushauri kwa serikali na taasisi/mashirika washirika

Dundo_Boy

JF-Expert Member
Dec 29, 2015
2,458
2,464
Huku mtaani kumekuwa na watafuta ajira wengi sana, katika matangazo yenu ya nafasi za kazi mara nyingi mnaweka muda mwingi wa watu kuomba nafasi ni sahihi. Hizo deadline mnazoweka mbona haziendani na wakati uliopo...kwann??

Utakuta tangazo limetolewa leo ndani yake unaambiwa uombe kazi ndani ya wiki mbili tangu sasa...sasa maswali najiuliza hawa watu wanatafuta nini?
1. Hawajui kwamba watafutaji ni wengi?
2. Hawajui kuwa utandawazi umekua sana?

Kwanini wasiweke deadline iwe ni siku moja ama mbili baada ya tangazo kutoka, ama waweke deadline masaa sita tu alafu tangazo lifungwe??
Njia inayotumika kwasasa ni mbovu sana na ni ya kizamani sana...huwezi toa tangazo leo alafu uweke deadline wiki mbili..ar u matured??

Mimeona baadhi ya mashirika wanajitahidi kwenda na wakati, wanatangaza leo deadline ni kesho. Hongereni sana kwa nyie mnaofanya hivi....lakini upande wa serikali yetu tafadharini twawaomba jamanj...utandawazi umekua watu wanapata taarifa mapema sana...jitahidini kupunguza muda wa kuomba hizo nafasi, pia mtapunguza msongamano wa maombi Kwenye email zenu...utakuta mnahitaji mtu mmoja alafu tangazo lenu linaonyesha deadline wiki mbili...are u crazy???.. Sasa mnakuja kuwafanyia usaili watu mia 600 kwa nafasi moja. Jamani jalini muda na utaalamu na zingatieni utandawazi umekua sana...
Lengo la kuandika haya yote: ni kuwataka mupunguze muda wa watu kuomba nafasi za kazi ktk matangazo mnayoyatoa. Watafuta kazi wamekuwa very active kwasasa yaani wanatafuta habari hakuna mfano...tangazo likitoa leo utakuta karibia kila Kona ya nchi wanajua...sasa kuna haja gani ya kuweka deadline mawiki???
Secta yetu ya mawasiliano umekua tubadilike, zamani mlikuwa mkiweka tangazo deadline mnaweka mwezi..ili kuhofia hamtapata waombaji...lakini kwasasa mambo ni tofauti sana...
Kila laheri ktk majukumu yenu....
 
Huku mtaani kumekuwa na watafuta ajira wengi sana, katika matangazo yenu ya nafasi za kazi mara nyingi mnaweka muda mwingi wa watu kuomba nafasi ni sahihi. Hizo deadline mnazoweka mbona haziendani na wakati uliopo...kwann??

Utakuta tangazo limetolewa leo ndani yake unaambiwa uombe kazi ndani ya wiki mbili tangu sasa...sasa maswali najiuliza hawa watu wanatafuta nini?
1. Hawajui kwamba watafutaji ni wengi?
2. Hawajui kuwa utandawazi umekua sana?

Kwanini wasiweke deadline iwe ni siku moja ama mbili baada ya tangazo kutoka, ama waweke deadline masaa sita tu alafu tangazo lifungwe??
Njia inayotumika kwasasa ni mbovu sana na ni ya kizamani sana...huwezi toa tangazo leo alafu uweke deadline wiki mbili..ar u matured??

Mimeona baadhi ya mashirika wanajitahidi kwenda na wakati, wanatangaza leo deadline ni kesho. Hongereni sana kwa nyie mnaofanya hivi....lakini upande wa serikali yetu tafadharini twawaomba jamanj...utandawazi umekua watu wanapata taarifa mapema sana...jitahidini kupunguza muda wa kuomba hizo nafasi, pia mtapunguza msongamano wa maombi Kwenye email zenu...utakuta mnahitaji mtu mmoja alafu tangazo lenu linaonyesha deadline wiki mbili...are u crazy???.. Sasa mnakuja kuwafanyia usaili watu mia 600 kwa nafasi moja. Jamani jalini muda na utaalamu na zingatieni utandawazi umekua sana...
Lengo la kuandika haya yote: ni kuwataka mupunguze muda wa watu kuomba nafasi za kazi ktk matangazo mnayoyatoa. Watafuta kazi wamekuwa very active kwasasa yaani wanatafuta habari hakuna mfano...tangazo likitoa leo utakuta karibia kila Kona ya nchi wanajua...sasa kuna haja gani ya kuweka deadline mawiki???
Secta yetu ya mawasiliano umekua tubadilike, zamani mlikuwa mkiweka tangazo deadline mnaweka mwezi..ili kuhofia hamtapata waombaji...lakini kwasasa mambo ni tofauti sana...
Kila laheri ktk majukumu yenu....

Mkuu tangazo litoke leo halafu deadline iwe kesho/keshokutwa!?Siyo wote ambao wanapata hizo habari on time.Mbona wiki mbili zinatosha kabisa!?Roho mbaya haijengi mkuu..wote tunatafuta kazi lkn week mbili ni kawaida sana na zinatosha.Unapolalamika hivyo nadhani umejiangalia ww tu na watu wa mijini ambao taarifa nyingi zinawafikia on time.Kumbuka pia means ya kutuma..wakiweka siku mbili au moja halafu utume kwa posta...si wote wenye pesa zakulipia ems...Tubadilike..kumbuka ukiwa unawaza hivyo mkumbuke na mwingine mwenye shida kama wewe.
 
Mkuu tangazo litoke leo halafu deadline iwe kesho/keshokutwa!?Siyo wote ambao wanapata hizo habari on time.Mbona wiki mbili zinatosha kabisa!?Roho mbaya haijengi mkuu..wote tunatafuta kazi lkn week mbili ni kawaida sana na zinatosha.Unapolalamika hivyo nadhani umejiangalia ww tu na watu wa mijini ambao taarifa nyingi zinawafikia on time.Kumbuka pia means ya kutuma..wakiweka siku mbili au moja halafu utume kwa posta...si wote wenye pesa zakulipia ems...Tubadilike..kumbuka ukiwa unawaza hivyo mkumbuke na mwingine mwenye shida kama wewe.
Mkuu nimeweka km angalizo waangalie upya, wiki mbili ni nyingi sana...kwa watafutaji wa kazi wanatafuta sana matangazo. Hata huko vijijini taarifa zinafika mara moja. Unaweza toa tangazo leo ukaweka deadline kesho...watafuta kazi wanaishi kama wanajeshi siku hizi...yaani wanatafuta habari/taarifa...kwahiyo wanazipata kwa urahisi sana...
Mkuu yaani hata nafasi moja utoe deadline wiki mbili?? Hapana kwa maoni yangu binafsi
 
Hata huko posta haina shida, zile barua si wanaweka mihuri kuonyesha hizo barua zimepokelewa tarehe Fulani...kwahiyo ikipokelewa nje ya muda itatupwa. Njia zote ni sawa chamsingi iwe Kwenye muda muafaka
 
Nafasi ya kazi inataka barua iandikwe kwa mkono na itumwe kwa njia ya posta, ofisi ipo Sumbawanga wewe upo Kibiti.
Halafu deadline ni saa 24

Utatamani uote mabawa.

Mleta uzi kuna nchi wana utaratibu huu? Maana hata shirika la CIA nafasi zao niliona deadline haipo kama wazo lako
 
Hata huko posta haina shida, zile barua si wanaweka mihuri kuonyesha hizo barua zimepokelewa tarehe Fulani...kwahiyo ikipokelewa nje ya muda itatupwa. Njia zote ni sawa chamsingi iwe Kwenye muda muafaka

Muda muafaka ndio huo wiki mbili walizotoa,huwezi wapangia kuwa ni mwingi au mdogo.Wabongo tunajua kulalama tu na kuvutia ngozi kwetu.Zingewekwa siku mbili hapo ungemiss kuapply tu ungekuja na thread hapa siku ziongezwe..Two weeks are enough.If it means to be it will..If not hata hizo siku mbili unazosema unaweza apply na usiitwe.To be fair hawataki lawama..ni heri mtu aweze kuapply akakosa kuliko asiapply kabisa akawa anajilaumu na zile Ninge...Ninge..
 
Nafasi ya kazi inataka barua iandikwe kwa mkono na itumwe kwa njia ya posta, ofisi ipo Sumbawanga wewe upo Kibiti.
Halafu deadline ni saa 24

Utatamani uote mabawa.

Mleta uzi kuna nchi wana utaratibu huu? Maana hata shirika la CIA nafasi zao niliona deadline haipo kama wazo lako
Kuna mashirika yapo hivi, hawapotezi muda na resource ktk shughuri hizi. Wanatangaza deadline siku moja, nimeyaona mengi...tena wanapata waombaji wengi sana huwezi amini....hadi unajiuliza watu wamejuaje??
 
Kuna mashirika yapo hivi, hawapotezi muda na resource ktk shughuri hizi. Wanatangaza deadline siku moja, nimeyaona mengi...tena wanapata waombaji wengi sana huwezi amini....hadi unajiuliza watu wamejuaje??

Hayo ni ya binafsi labda..shirika la umma huwezi weka deadline ndani ya siku moja au mbili.
 
Muda muafaka ndio huo wiki mbili walizotoa,huwezi wapangia kuwa ni mwingi au mdogo.Wabongo tunajua kulalama tu na kuvutia ngozi kwetu.Zingewekwa siku mbili hapo ungemiss kuapply tu ungekuja na thread hapa siku ziongezwe..Two weeks are enough.If it means to be it will..If not hata hizo siku mbili unazosema unaweza apply na usiitwe.To be fair hawataki lawama..ni heri mtu aweze kuapply akakosa kuliko asiapply kabisa akawa anajilaumu na zile Ninge...Ninge..
Bado nafikiri wiki mbili ni nyingi sana mkuu, sio wafurahishe waombaji kwa kuwakusanya kwa wingi...basi kama ndio hivyo wasiite watu wengi hata km wengi wamekidhi vigezo...kuwapotezea muda vijana. Mwenye bahati atapata kutoka kwa hao wachache....huu ukosefu wa ajira unasababisha watu kupoteza rasilimali nyingi sana ikiwemo pesa na muda kwa kuhudhuria wito wa watu mia 2 nafasi 1.
 
Huku mtaani kumekuwa na watafuta ajira wengi sana, katika matangazo yenu ya nafasi za kazi mara nyingi mnaweka muda mwingi wa watu kuomba nafasi ni sahihi. Hizo deadline mnazoweka mbona haziendani na wakati uliopo...kwann??

Utakuta tangazo limetolewa leo ndani yake unaambiwa uombe kazi ndani ya wiki mbili tangu sasa...sasa maswali najiuliza hawa watu wanatafuta nini?
1. Hawajui kwamba watafutaji ni wengi?
2. Hawajui kuwa utandawazi umekua sana?

Kwanini wasiweke deadline iwe ni siku moja ama mbili baada ya tangazo kutoka, ama waweke deadline masaa sita tu alafu tangazo lifungwe??
Njia inayotumika kwasasa ni mbovu sana na ni ya kizamani sana...huwezi toa tangazo leo alafu uweke deadline wiki mbili..ar u matured??

Mimeona baadhi ya mashirika wanajitahidi kwenda na wakati, wanatangaza leo deadline ni kesho. Hongereni sana kwa nyie mnaofanya hivi....lakini upande wa serikali yetu tafadharini twawaomba jamanj...utandawazi umekua watu wanapata taarifa mapema sana...jitahidini kupunguza muda wa kuomba hizo nafasi, pia mtapunguza msongamano wa maombi Kwenye email zenu...utakuta mnahitaji mtu mmoja alafu tangazo lenu linaonyesha deadline wiki mbili...are u crazy???.. Sasa mnakuja kuwafanyia usaili watu mia 600 kwa nafasi moja. Jamani jalini muda na utaalamu na zingatieni utandawazi umekua sana...
Lengo la kuandika haya yote: ni kuwataka mupunguze muda wa watu kuomba nafasi za kazi ktk matangazo mnayoyatoa. Watafuta kazi wamekuwa very active kwasasa yaani wanatafuta habari hakuna mfano...tangazo likitoa leo utakuta karibia kila Kona ya nchi wanajua...sasa kuna haja gani ya kuweka deadline mawiki???
Secta yetu ya mawasiliano umekua tubadilike, zamani mlikuwa mkiweka tangazo deadline mnaweka mwezi..ili kuhofia hamtapata waombaji...lakini kwasasa mambo ni tofauti sana...
Kila laheri ktk majukumu yenu....
Hahhhaha mkuu umewaza sana.... nmejikuta nacheka tu

Money.. Power... Respect!!!
 
  1. Hapa utakuwa umewatenga sanaa watu wa vijijini, pia hakuna mashirika makubwa duniani yanatumia huo utaratibu labda iwe emergency.
  2. Ukianzisha shirika lako ukatumia huo utaratibu pia sio mbaya utakuwa mfano bora.
 
Back
Top Bottom