kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Hivi haya yasemwayo ni kweli? Kuna maneno nimekuta mahali kuwa mashirika mengi hapa Tanzania hususan NGO's pia mashirika ya umma kuna undugulization tu.
Yaani watu wanapeana kazi kwa kujuana!!Mfano zinaweza kutangazwa nafasi 200 shirika flan halaf watu wakaomba kumbe kutangaza wamefanya kama wajibu ili ionekane walitangaza.
Kumbe tayar watu walishapatikana kwa muda tu tangazo ni zuga tu.
Mashirika mengine yamejaa ukabila na udini pia, kama sio dini fulani hupati kazi, kama sio kabila fulani hupewi kazi na mengine yamejaa kujuana tu kama hujulikani hupati kazi.
Mimi sio mtaalam sana wa masuala ya mashirika hivi hakuna namna taifa linaweza kufanya tukapunguza haya matatizo na huu urasimu?
Yaani watu wanapeana kazi kwa kujuana!!Mfano zinaweza kutangazwa nafasi 200 shirika flan halaf watu wakaomba kumbe kutangaza wamefanya kama wajibu ili ionekane walitangaza.
Kumbe tayar watu walishapatikana kwa muda tu tangazo ni zuga tu.
Mashirika mengine yamejaa ukabila na udini pia, kama sio dini fulani hupati kazi, kama sio kabila fulani hupewi kazi na mengine yamejaa kujuana tu kama hujulikani hupati kazi.
Mimi sio mtaalam sana wa masuala ya mashirika hivi hakuna namna taifa linaweza kufanya tukapunguza haya matatizo na huu urasimu?