Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Arusha bado kuna wahuni wa kila aina na wengine wajiweka tofauti na kujiita wadudu.
Wadudu wamepata nguvu kubwa kwa RC Makonda ila tokea kupata nguvu yani ukifungua mtandao wa youtube mara wameiba jeneza, mara wamefanya hivi yaani vituko na maajabu.
Kumbuka ulitoka Dar, Mfano Dar unapowapa baraka mateja waendeleze uteja wao hapo hujengi kupendwa na wasio na tabia hizo.
Jaribu kuwabadilisha hawa wadudu sio kuwaendekeza, kuna siku watakugeukia kwenye mkoa na kuwa mkoa wa wahuni.
Wadudu wamepata nguvu kubwa kwa RC Makonda ila tokea kupata nguvu yani ukifungua mtandao wa youtube mara wameiba jeneza, mara wamefanya hivi yaani vituko na maajabu.
Kumbuka ulitoka Dar, Mfano Dar unapowapa baraka mateja waendeleze uteja wao hapo hujengi kupendwa na wasio na tabia hizo.
Jaribu kuwabadilisha hawa wadudu sio kuwaendekeza, kuna siku watakugeukia kwenye mkoa na kuwa mkoa wa wahuni.