Je kwanini rais asingeteua wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wasingekuwa wanatoka katika mikoa husika mfano mkuu wa mkoa wa Njombe awe anatokea Njombe na mkuu wa wilaya ya Makete awe anatokea Makete je wana JF mnasemaje ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.