Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,733
- Thread starter
- #21
ha ha haUkiishia kuitwa kaka usilalamike!
ha ha haUkiishia kuitwa kaka usilalamike!
bora umesema.......yaani after outing unampa pesa.....just like that.....Hii approach ni very probability it doesn't work like that....endelea kujidanganya
ha ha ha hamambo hayo hayapo siku iz mdada anakula vyako na mwsho wa siku anakusanda
Mbona niliitumia kwako haikuzaa matunda weee, samaki mkunje ....sasa tukizoeshana mapema yote hii mhmhh kwa style hizi tukiingia kwenye maisha ya kawaida mapenzi yetu yataendelea kushamiri kweli ....mimi ni mzuri sana kwenye risk management.. Since risk is the future unforeseen event nahitaji umakini zaidi when comea to womenIna Fanya kazi.
HahahahahaUkiishia kuitwa kaka usilalamike!
Simply women's desires are not satisfied over a single night bro..you ave to go a long way to meet women's desire hususani kwa yule mwenye malengo nae na unajua ni lazima utumie all what you got kumpataKwa nini mkuu
Yes mkuu,hapo ndiyo inatwa kutwanga maji kwenye kinu...hawa watu wana vitu vingi sana wanavitamani mpaka ujue cha muhimu kwake ni vipi umeshahanagaika sana...cha msingi jipe muda kumsoma swala wako unaemuinda .....ha ha ha ha unawezajikuta unawekeza mwisho wa siku hakuna kitu
sahihi kabisa mm nawatafunaga wengi sana kwa style hiyo, hasa outing za usikuKama umempenda binti/mwanamke usimuulize kama ameolewa au ana mchumba.Chakufanya mtoe 'out',mnunulie zawadi,vyakula,vinywaji;mpe maneno mazuri mazuri ya utani wa hapa na pale ya kuchekesha,na pia mpatie fedha za matumizi....baada ya hapo, we subiria yeye mwenyewe afanye maamuzi.
Hahhhahhhahhaa [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Mie nitumie tu pesa then nitatafakari if am in a relationship or am single.
Mbona niliitumia kwako haikuzaa matunda weee, samaki mkunje ....sasa tukizoeshana mapema yote hii mhmhh kwa style hizi tukiingia kwenye maisha ya kawaida mapenzi yetu yataendelea kushamiri kweli ....mimi ni mzuri sana kwenye risk management.. Since risk is the future unforeseen event nahitaji umakini zaidi when comea to women
Hayo ndo maneno sasa
Yaani umenena vema sana hebu pita jeshini watukane adhabu taitumikia mimiKama umempenda binti/mwanamke usimuulize kama ameolewa au ana mchumba.Chakufanya mtoe 'out',mnunulie zawadi,vyakula,vinywaji;mpe maneno mazuri mazuri ya utani wa hapa na pale ya kuchekesha,na pia mpatie fedha za matumizi....baada ya hapo, we subiria yeye mwenyewe afanye maamuzi.
Mkuu mbinu hiyo ilipita kipindi cha shemeji,Kama umempenda binti/mwanamke usimuulize kama ameolewa au ana mchumba.Chakufanya mtoe 'out',mnunulie zawadi,vyakula,vinywaji;mpe maneno mazuri mazuri ya utani wa hapa na pale ya kuchekesha,na pia mpatie fedha za matumizi....baada ya hapo, we subiria yeye mwenyewe afanye maamuzi.
Nilikaza sana , nimekaza mpaka tumbo LinaumaKwangu haukukaza tuu. Ulichoka mapema.
Ngoja niijaribie kwako. Ni inbox namba zako nikufanyie muamala kwa mPesaIna Fanya kazi.
ha ha ha haMkuu mbinu hiyo ilipita kipindi cha shemeji,
Kipindi cha jiwe lazima mambo yasiwe mengi[emoji81] [emoji81]
ha ha ha unitakii mema ya duniaYaani umenena vema sana hebu pita jeshini watukane adhabu taitumikia mimi