Ushauri kwa 'me'

Ushauri kwa 'me'

Ina Fanya kazi.
Mbona niliitumia kwako haikuzaa matunda weee, samaki mkunje ....sasa tukizoeshana mapema yote hii mhmhh kwa style hizi tukiingia kwenye maisha ya kawaida mapenzi yetu yataendelea kushamiri kweli ....mimi ni mzuri sana kwenye risk management.. Since risk is the future unforeseen event nahitaji umakini zaidi when comea to women
 
ha ha ha ha unawezajikuta unawekeza mwisho wa siku hakuna kitu
Yes mkuu,hapo ndiyo inatwa kutwanga maji kwenye kinu...hawa watu wana vitu vingi sana wanavitamani mpaka ujue cha muhimu kwake ni vipi umeshahanagaika sana...cha msingi jipe muda kumsoma swala wako unaemuinda .....
 
Kama umempenda binti/mwanamke usimuulize kama ameolewa au ana mchumba.Chakufanya mtoe 'out',mnunulie zawadi,vyakula,vinywaji;mpe maneno mazuri mazuri ya utani wa hapa na pale ya kuchekesha,na pia mpatie fedha za matumizi....baada ya hapo, we subiria yeye mwenyewe afanye maamuzi.
sahihi kabisa mm nawatafunaga wengi sana kwa style hiyo, hasa outing za usiku
 
Mbona niliitumia kwako haikuzaa matunda weee, samaki mkunje ....sasa tukizoeshana mapema yote hii mhmhh kwa style hizi tukiingia kwenye maisha ya kawaida mapenzi yetu yataendelea kushamiri kweli ....mimi ni mzuri sana kwenye risk management.. Since risk is the future unforeseen event nahitaji umakini zaidi when comea to women

Kwangu haukukaza tuu. Ulichoka mapema.
 
Kama umempenda binti/mwanamke usimuulize kama ameolewa au ana mchumba.Chakufanya mtoe 'out',mnunulie zawadi,vyakula,vinywaji;mpe maneno mazuri mazuri ya utani wa hapa na pale ya kuchekesha,na pia mpatie fedha za matumizi....baada ya hapo, we subiria yeye mwenyewe afanye maamuzi.
Yaani umenena vema sana hebu pita jeshini watukane adhabu taitumikia mimi
 
Hii mitego mingine hii, September tunalipa ada za watoto na Asprin amesema nyumbani ni mwendo wa dagaa na mchicha sasa leo unamwambia mwenye butcher anipe maini kilo tano
 
Kama umempenda binti/mwanamke usimuulize kama ameolewa au ana mchumba.Chakufanya mtoe 'out',mnunulie zawadi,vyakula,vinywaji;mpe maneno mazuri mazuri ya utani wa hapa na pale ya kuchekesha,na pia mpatie fedha za matumizi....baada ya hapo, we subiria yeye mwenyewe afanye maamuzi.
Mkuu mbinu hiyo ilipita kipindi cha shemeji,
Kipindi cha jiwe lazima mambo yasiwe mengi[emoji81] [emoji81]
 
Back
Top Bottom