Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,733
Kama umempenda binti/mwanamke usimuulize kama ameolewa au ana mchumba.Chakufanya mtoe 'out',mnunulie zawadi,vyakula,vinywaji;mpe maneno mazuri mazuri ya utani wa hapa na pale ya kuchekesha,na pia mpatie fedha za matumizi....baada ya hapo, we subiria yeye mwenyewe afanye maamuzi.