Ushauri kwa mabazazi wenzangu

Ushauri kwa mabazazi wenzangu

Unakuta dem under 25, ana mashine kama bwawa la mtera... Na linda lishatatuliwa kitaambo, hata mimba alizotoa hazina idadi...
 
Beutifull gals likes us players, hata wakijijua wapo wangap, wanaanza kupigana vijembe wao kwa wao. Ni kuwahodhi tu maana hakuna namna
Na wewe unaetafuta mwanamke ukose, hayo ndo matatizo ya upande wa pili wa kung'ang'ana na madaftari na madesa usiku kucha! Domo linajaa gundi eeeh!
 
Kila siku naona kilio wanaume wakilia kukosa wanawake wazuri wa kuoa, haina maana wanawake wa kuolewa hawapo, wapo ila wamehodhiwa na mabazazi.

Nuwaombe mabazazi na wengine wote mnaohodhi idadi kubwa ya wanawake ambao hamtawaoa muwaachie wanaume wengine wapate wa kuoa, unamiliki warembo 10 na wote unawadanganya kuwaoa ingawa kiukweli kutawaoa nadhani uachie 6 ubakie na 4 angalau utakua umwaokoa wanaume 6 mtaani.

Mimi kwa mwaka huu nimerelease warembo 6 kutoka kwenye long list yangu ya warembo ili waangalie wanaume wazuri wenye nia njema na wao.

Tuwapunguzie wenzetu jamani. Nenda live connect na sehem nyingine wanaotafta watu wa kuoa ni wanaume huku wenzao tumehodhi wanawake zaidi ya kumi, tuwapunguzie.
Mabaazazi wenzako wamekusikia. Tena bakieni na mmoja tu anawatosha.
 
Mi nimehodhiwa na hao kumi nimejaribu kila mbinu kuwakimbia lakini wameng'ang'ania sijui ni ule upigaji wa dushelele?
Nani kakwambia wanataka dushe lako? Ngoja siku account ikianza kupumulia mashine ndo utajua wapo kwaajili ya dushe au fweza
 
Account kukata labda Gate no 5 ling'olewe... wengine hawana shida yaani hata nikitaka kutoka kwao m10 napata bila maswali sasa hapo ni nini? Kama sio kufukunyunkunua kunawapagawisha?
Nani kakwambia wanataka dushe lako? Ngoja siku account ikianza kupumulia mashine ndo utajua wapo kwaajili ya dushe au fweza
 
Hao sita uliowaacha nipate namba ya mmoja basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom