Ushauri kwa Jirani: Mbowe must be disposed!

Ushauri kwa Jirani: Mbowe must be disposed!

Mwandishi maarufu wa Vitabu, Mmarekani mwenye asili ya Italia, anayeitwa MARIO PUZZO aliandika maneno yafuatayo katika moja ya vitabu vyake maarufu, kinachoitwa ‘’THE GODFATHER” ninamnukuu;
“We are a family, and the LOYALTY of the family must come before anything and everyone else. For if we honor that commitment, we will never be vanquished – but if we falter in that loyalty, we will all be CONDEMNED”

MWENYE - ENZI MUNGU alipomuumba mwanadamu alimpa MWONGOZO kisha akawatuma Mitume yake ije iufundishe muongozo huo kwa watu, kisha ikawekwa bayana kuwa atakayeufuata Muongozo huo ataongoka na atalipwa PEPO na atakayeuacha ataangamia na MOTONI yatakuwa ndio marejeo yake.

Katika Zaburi 51:6 inasema “Tazama wapendezwa na KWELI iliyo moyoni nawe utanijulisha hekima kwa siri” walio wakristo wenzangu wanafahamu mstari ukianza na neno ‘TAZAMA’ inamaanisha nini.

Baada ya utangulizi huo, kila mmoja wetu anajua kuwa LOWASSA kashindwa kwa aibu kwenye uchaguzi mkuu wa October 2015 na ni wazi kuwa MAGUFULI ndio rais wa AWAMU YA TANO wa Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA ambaye amekuwa ni MFANO WA KUIGWA duniani kote.

Naandika maneno haya, nikielezea kwa ufupi kabisa sababu zilizoipandisha na kuishusha CHADEMA hata kushindwa kwa aibu kabisa katika uchaguzi wa mwaka jana ili andiko hili liwe fursa ya kuamsha akili zao zilizolala.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilipanda na kukubalika kwa watanzania wengi kutoka na IMAGE ‘taswira” yake ya kutetea wanyonge, kutetea haki, uzalendo na kupinga ufisadi. Waki-stress katika hoja ya RUSHWA kama kiini cha Umasikini wa WATANZANIA.

Katika uchaguzi uliopita hali ilikuwa tofauti, walifanya makosa yatakayogharimu ‘uwepo’ wao katika ulingo wa siasa za nchi hii, makosa hayo ni kama yafuatayo;

Nitaanza kwa kifupi kueleza makosa ya kijinga waliyofanya CHADEMA kabla ya kuelezea yale ya msingi;

1. TAMAA – Viongozi wakuu wa CHADEMA walipata UROHO wa ghafla wa kutaka kuingia ikulu kwa namna yeyote, wakasahau misingi, wakaivunja UAMINIFU (LOYALTY) kwa wananchi walioujenga kwa miaka mingi na kwa nguvu kubwa iliyojumuisha DAMU ya watanzania. Tamaa ikawafumba macho, ikatawala akili zao, ladha ya madaraka ikatawala mioyo yao.


2. JEURI – Viongozi wa CHADEMA walipatwa na jeuri, jeuri ambayo asili yake ni FEDHA aliyokuja nayo EDWARD LOWASSA, wakadharau ushauri, wakapingana na wataalamu wao waliokuwa wakiwaamini miaka yote. Wakawashushua na kuwaona sio lolote si chochote pale walipowaeleza hatari ya kumpokea EDWARD ndani ya CHADEMA.


3. KIBRI – M/kiti wa CHADEMA na genge lake wakapatwa na kibri, wakaacha Mbachao kwa msala upitao. Wakawashambulia wenzao Slaa, lipumba na kila aliyepingana nao katika wazo lao la kumuweka EDO kuwa nahodha wa chombo chao. Wakaamini katika Edo na Matajiri wenzake wanaomuunga mkono. Ujuaji ukawa mwingi na kujiona wao ni zaidi ya kila mtu.

Ukiacha makosa hayo ya kijinga, lipo kosa la msingi kabisa walilofanya CHADEMA, nalo si jingine isipokuwa ni kosa la KUACHA MISINGI yake. CHADEMA iliundwa ama kuasisiwa ikiwa na values na commitment zifutazo;

1. Image ya unyonge, u-nyerere na Uzalendo.

Watanzania masikini waliiona CHADEMA kuwa ni chama chao, wakakichangia kwa mali kidogo walizonazo, wakajitoa kwa hali na mali, wakawa tayari kufa ili kuinusuru CHADEMA wakiamini kuwa ni chama chao.

Lakini CHADEMA ikaamua kuwasaliti Masikini wa Tanzania, wakaamua kuukataa U-nyerere [wakajivua image ya ukombozi] wakasikika wakimkosoa hadharani na kupayuka kuwa Nyerere hawezi kuwa Mungu. Wakajivua uzalendo, wakaacha kuchangisha na kutegemea ruzuku ya Edward na Rostam et al.


2. Kuzika HOJA ya UFISADI.

Chadema waliamua kuikataa, kuipinga na kujiweka mbali kabisa na HOJA ya kupinga UFISADI wakawa wako busy kuwasafisha mafisadi. Sidhani walifanya tathmini kiasi gani lakini confusion iliyozaliwa katika vichwa vya watanzania haikumithilika.

Hoja hii ndio iliyoijenga na kuitambulisha CHADEMA kwa watanzania, imani ya watanzania kwa CHADEMA ilitokana na hoja hii. CHADEMA wakaachana na hoja hii kimzaha mzaha kabisa. Hoja iliyobeba UHAI wao.


3. Kuunda AJENDA mpya ya MFUMO.

Baada ya kuzika hoja ya UFISADI wakaibua hoja mpya ya MFUMO, wakawaambia watanzania kuwa ajenda yao ni kuondoa mfumo, kwani wamegundua kuwa tatizo sio WEZI, wala rushwa bali ni mfumo ndio unatengeneza wezi na rushwa – hoja ya hovyo kabisa.

Hoja hii si tu kuwa HAIKUELEWEKA kwa Watanzania lakini imeendelea kuwa MAZINGAOMBWE hata kwa wasomi wenye ufahamu kujua kusudi na maana halisi ya MFUMO kama inavyotumiwa na CHADEMA.


4. MBOWE kuendelea kuwa M/kiti wa CHADEMA.

Miaka ya nyuma kidogo, nilieleza doubts zangu katika uwezo na maarifa ya MBOWE katika kuki-transform chama na kukiwezesha kushika dola, sikueleweka, labda sasa nitaeleweka. Lakini hata nikieleweka sasa, it’s too late, Chadema imeshapoteza watu muhimu, wasomi wenye maarifa, viongozi wenye uzalendo na kweli katika mioyo yao, wamepoteza waadilifu na sifa ya uadilifu, Chadema ya leo iko mikononi mwa wezi na mafisadi wa nchi hii, hakuna namna wanaweza kuondoka kirahisi, hata ikiwa MBOWE atajiuzulu sasa.

Mbowe betrayed principles and pillars of the family, amedanganywa akadanganyika, amepoteza legitimacy ya ku-lead the family, amekiuka misingi na commitment in the family – He must be disposed.


5. CHADEMA hawana utaratibu wa kujifanyia TATHMINI.

Chama makini hujifanyia tathmini kila jioni,kila mwezi, kila mwaka na kila baada ya tukio kubwa kama la uchaguzi. Chadema wanahitaji in-depth evaluation lakini najua kwa hakika hawatofanya kwani wao wanaamini kuwa wao ni intelligent kupindukia, hivyo hawakosei na hivyo hawana utaratibu wa kurudi mezani kujitathmini. Hili ni kosa la msingi kabisa, maana kama wangelikuwa wanafanya tathmini wasingelikubali LOWASSA kuwa mgombea wao wa milele (maana amejitangaza kuwa 2020 yumo).

Kwa makosa hayo, yote ya aina mbili yale ya msingi na hata yale ya kijinga CHADEMA imepoteza LOYALTY kwa watanzania, hawaaminiki tena, ndio maana wamepoteza uchaguzi uliopita na watapoteza zaidi.

Katika kitu kigumu ku-regain ni LOYALTY (UAMINIFU) kwani uaminifu ni kama roho, ikiachana na mwili haiwezi kurudi kwenye mwili huo. Once it’s gone, it is gone forever wenye akili mwili ukiachana na roho wanauchukua mwili huo na kuuzika haraka kabla haujaanza kuharibika na kutoa harufu mbaya, CHADEMA imeachana na ROHO yake, wenye akili wanajua kuwa MAITI mahala pake KABURINI.

View attachment 325157
Blah blah blah That is what I read here! Good song to stupid CCM cadres!
 
Mnaanzisha wenyewe huu upupu halafu mnakuja kuanzisha nyuzi ushuzi hapa Jamvini, kuweni na aibu na utu nyinyi maccm.
 
Mwandishi maarufu wa Vitabu, Mmarekani mwenye asili ya Italia, anayeitwa MARIO PUZZO aliandika maneno yafuatayo katika moja ya vitabu vyake maarufu, kinachoitwa ‘’THE GODFATHER” ninamnukuu;
“We are a family, and the LOYALTY of the family must come before anything and everyone else. For if we honor that commitment, we will never be vanquished – but if we falter in that loyalty, we will all be CONDEMNED”

MWENYE - ENZI MUNGU alipomuumba mwanadamu alimpa MWONGOZO kisha akawatuma Mitume yake ije iufundishe muongozo huo kwa watu, kisha ikawekwa bayana kuwa atakayeufuata Muongozo huo ataongoka na atalipwa PEPO na atakayeuacha ataangamia na MOTONI yatakuwa ndio marejeo yake.

Katika Zaburi 51:6 inasema “Tazama wapendezwa na KWELI iliyo moyoni nawe utanijulisha hekima kwa siri” walio wakristo wenzangu wanafahamu mstari ukianza na neno ‘TAZAMA’ inamaanisha nini.

Baada ya utangulizi huo, kila mmoja wetu anajua kuwa LOWASSA kashindwa kwa aibu kwenye uchaguzi mkuu wa October 2015 na ni wazi kuwa MAGUFULI ndio rais wa AWAMU YA TANO wa Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA ambaye amekuwa ni MFANO WA KUIGWA duniani kote.

Naandika maneno haya, nikielezea kwa ufupi kabisa sababu zilizoipandisha na kuishusha CHADEMA hata kushindwa kwa aibu kabisa katika uchaguzi wa mwaka jana ili andiko hili liwe fursa ya kuamsha akili zao zilizolala.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilipanda na kukubalika kwa watanzania wengi kutoka na IMAGE ‘taswira” yake ya kutetea wanyonge, kutetea haki, uzalendo na kupinga ufisadi. Waki-stress katika hoja ya RUSHWA kama kiini cha Umasikini wa WATANZANIA.

Katika uchaguzi uliopita hali ilikuwa tofauti, walifanya makosa yatakayogharimu ‘uwepo’ wao katika ulingo wa siasa za nchi hii, makosa hayo ni kama yafuatayo;

Nitaanza kwa kifupi kueleza makosa ya kijinga waliyofanya CHADEMA kabla ya kuelezea yale ya msingi;

1. TAMAA – Viongozi wakuu wa CHADEMA walipata UROHO wa ghafla wa kutaka kuingia ikulu kwa namna yeyote, wakasahau misingi, wakaivunja UAMINIFU (LOYALTY) kwa wananchi walioujenga kwa miaka mingi na kwa nguvu kubwa iliyojumuisha DAMU ya watanzania. Tamaa ikawafumba macho, ikatawala akili zao, ladha ya madaraka ikatawala mioyo yao.


2. JEURI – Viongozi wa CHADEMA walipatwa na jeuri, jeuri ambayo asili yake ni FEDHA aliyokuja nayo EDWARD LOWASSA, wakadharau ushauri, wakapingana na wataalamu wao waliokuwa wakiwaamini miaka yote. Wakawashushua na kuwaona sio lolote si chochote pale walipowaeleza hatari ya kumpokea EDWARD ndani ya CHADEMA.


3. KIBRI – M/kiti wa CHADEMA na genge lake wakapatwa na kibri, wakaacha Mbachao kwa msala upitao. Wakawashambulia wenzao Slaa, lipumba na kila aliyepingana nao katika wazo lao la kumuweka EDO kuwa nahodha wa chombo chao. Wakaamini katika Edo na Matajiri wenzake wanaomuunga mkono. Ujuaji ukawa mwingi na kujiona wao ni zaidi ya kila mtu.

Ukiacha makosa hayo ya kijinga, lipo kosa la msingi kabisa walilofanya CHADEMA, nalo si jingine isipokuwa ni kosa la KUACHA MISINGI yake. CHADEMA iliundwa ama kuasisiwa ikiwa na values na commitment zifutazo;

1. Image ya unyonge, u-nyerere na Uzalendo.

Watanzania masikini waliiona CHADEMA kuwa ni chama chao, wakakichangia kwa mali kidogo walizonazo, wakajitoa kwa hali na mali, wakawa tayari kufa ili kuinusuru CHADEMA wakiamini kuwa ni chama chao.

Lakini CHADEMA ikaamua kuwasaliti Masikini wa Tanzania, wakaamua kuukataa U-nyerere [wakajivua image ya ukombozi] wakasikika wakimkosoa hadharani na kupayuka kuwa Nyerere hawezi kuwa Mungu. Wakajivua uzalendo, wakaacha kuchangisha na kutegemea ruzuku ya Edward na Rostam et al.


2. Kuzika HOJA ya UFISADI.

Chadema waliamua kuikataa, kuipinga na kujiweka mbali kabisa na HOJA ya kupinga UFISADI wakawa wako busy kuwasafisha mafisadi. Sidhani walifanya tathmini kiasi gani lakini confusion iliyozaliwa katika vichwa vya watanzania haikumithilika.

Hoja hii ndio iliyoijenga na kuitambulisha CHADEMA kwa watanzania, imani ya watanzania kwa CHADEMA ilitokana na hoja hii. CHADEMA wakaachana na hoja hii kimzaha mzaha kabisa. Hoja iliyobeba UHAI wao.


3. Kuunda AJENDA mpya ya MFUMO.

Baada ya kuzika hoja ya UFISADI wakaibua hoja mpya ya MFUMO, wakawaambia watanzania kuwa ajenda yao ni kuondoa mfumo, kwani wamegundua kuwa tatizo sio WEZI, wala rushwa bali ni mfumo ndio unatengeneza wezi na rushwa – hoja ya hovyo kabisa.

Hoja hii si tu kuwa HAIKUELEWEKA kwa Watanzania lakini imeendelea kuwa MAZINGAOMBWE hata kwa wasomi wenye ufahamu kujua kusudi na maana halisi ya MFUMO kama inavyotumiwa na CHADEMA.


4. MBOWE kuendelea kuwa M/kiti wa CHADEMA.

Miaka ya nyuma kidogo, nilieleza doubts zangu katika uwezo na maarifa ya MBOWE katika kuki-transform chama na kukiwezesha kushika dola, sikueleweka, labda sasa nitaeleweka. Lakini hata nikieleweka sasa, it’s too late, Chadema imeshapoteza watu muhimu, wasomi wenye maarifa, viongozi wenye uzalendo na kweli katika mioyo yao, wamepoteza waadilifu na sifa ya uadilifu, Chadema ya leo iko mikononi mwa wezi na mafisadi wa nchi hii, hakuna namna wanaweza kuondoka kirahisi, hata ikiwa MBOWE atajiuzulu sasa.

Mbowe betrayed principles and pillars of the family, amedanganywa akadanganyika, amepoteza legitimacy ya ku-lead the family, amekiuka misingi na commitment in the family – He must be disposed.


5. CHADEMA hawana utaratibu wa kujifanyia TATHMINI.

Chama makini hujifanyia tathmini kila jioni,kila mwezi, kila mwaka na kila baada ya tukio kubwa kama la uchaguzi. Chadema wanahitaji in-depth evaluation lakini najua kwa hakika hawatofanya kwani wao wanaamini kuwa wao ni intelligent kupindukia, hivyo hawakosei na hivyo hawana utaratibu wa kurudi mezani kujitathmini. Hili ni kosa la msingi kabisa, maana kama wangelikuwa wanafanya tathmini wasingelikubali LOWASSA kuwa mgombea wao wa milele (maana amejitangaza kuwa 2020 yumo).

Kwa makosa hayo, yote ya aina mbili yale ya msingi na hata yale ya kijinga CHADEMA imepoteza LOYALTY kwa watanzania, hawaaminiki tena, ndio maana wamepoteza uchaguzi uliopita na watapoteza zaidi.

Katika kitu kigumu ku-regain ni LOYALTY (UAMINIFU) kwani uaminifu ni kama roho, ikiachana na mwili haiwezi kurudi kwenye mwili huo. Once it’s gone, it is gone forever wenye akili mwili ukiachana na roho wanauchukua mwili huo na kuuzika haraka kabla haujaanza kuharibika na kutoa harufu mbaya, CHADEMA imeachana na ROHO yake, wenye akili wanajua kuwa MAITI mahala pake KABURINI.

View attachment 325157
Adui akikushauri,do the opposite!Siku mtakapoanza kumsifia Mbowe(kama mnavyofanya kwa lipumba sasa) basi tutajua wakati wake umekwisha!
 
Wewe unachambua wenzako wanafanya kweli. Nakuhurumia sababu hakuna mtu utamdanganya tena sasa hivi watu wanashuudia kwa macho Magufuli anavyobadili nchi hii sio tena mambo ya kufikirika watu wanaona kwa macho yao kila kitu. Sio rahisi tena kubadili nyeupe kuwa nyeusi watu sio vipofu wanaona.

Eti Sumaye Kingunge Lowassa Masha ndio symbol yenu ya mabadiliko, alafu bado mna ujasiri wa kuita anachofanya Magufuli ni feki.

Tupo tunaona hatuitaji mtu wa kutuonyesha lolote.
Miezi 16 imepita tangia uje na kauli yako kuhusu rubani wetu. Ndege yetu ipo salama angani?
Adui akikushauri,do the opposite!Siku mtakapoanza kumsifia Mbowe(kama mnavyofanya kwa lipumba sasa) basi tutajua wakati wake umekwisha!
 
Wewe juliana mbona inajulikana chuki zako baada ya kupigwa chini kimapenz huk cdm na ********* na ukajikuta unatoa ***********
 
CHADEMA ilikuwa na thamani chini ya katibu Mkuu Dr Slaa. CHADEMA ya sasa ni pango la majizi na mafisadi
Wakati Slaa ni Katibu Mkuu mbona sikuwahi kukusikia ukisema kuwa CHADEMA ina thamani?

Haya maneno yenu tumeshayazoea, ni watoto wa umri na hekima tu ndio watakaotilia maanani maneno kama haya.
 
Kumbe unajua kabisa watanzania ni masikini na waliiamini chadema kama mkombozi..

Kumbe unajua kabisa watanzania wanahitaji mkombozi lakini CDM ndio imewaangusha kwa sababu ya El.

Inaonekana kabisa CCM mlikuwa na agenda na hawa watu wawili LIPUMBA & SLAA, kama SLAA hakuwahi kufikisha kura hata 3mil katika chaguzi zote na uchaguzi umekuwa rahisi tu kwa CCM miaka yote. Leo EL uchaguzi mmoja tu kapiga kura 6mil sijui hapa utatudanganya nini hapa...
 
Hoja zako Mheshimiwa Juliana Shonza ingawa zina msingi wake lakini zina walakini pia zina upogo katika kuziwasilisha kwake. Kwanza andiko lako limejaa mikingamo ya kutosha kiasi kwamba huwezi kujulikana kama unashutumu au unaionea huruma CHADEMA!!

Kwanza unasema kwenye uchaguzi wa Mwaka jana Lowassa alishindwa kwa "aibu". Hivi watu zaidi ya (kwa mujibu wa Lubuva) milioni sita waliomchagua Lowassa ambao ni sawa na asilimia karibia 40 ni aibu hiyo? Ina maana kati ya watu 10 watu 4 walimchagua Lowassa na wewe unasema ushindi wa aina hiyo ni aibu?

Lowassa hakutumia hila. ghilba, wala nguvu ya dola kupata kura alizozipata halafu unasema kwamba ameshindwa kwa aibu? Halafu kwa nini maandiko yenu yanaonesha kwamba ndani ya nafsi zenu mlitaka Lowassa ashinde? Au ndiyo yale mambo ya kikulacho ki nguoni mwako unatimia? Bila shaka mbele ya safari wanaowakodisha watakuja kugundua nyie ni watu wa aina gani.

Hoja nyingine ambayo ilitakiwa isitoke kwenye kundi lenu ni hii ya kusema kwamba CHADEMA imeacha kuwatetea wanyonge. CHADEMA imeacha kuwatetea wanyonge dhidi ya nani? Bila shaka kama CHADEMA ilikuwa na imeacha kuwatetea wanyonge, basi ni dhidi ya CCM na serikali inayoongozwa na CCM. Kwa maana nyingine wewe na wenzako mnakiri wazi kuwa kuna wanyonge wanaogandamizwa na CCM na wanatakiwa kutetewa.
Hapo anamaanisha kuwa CCM ni jitu linalokandamiza wanyonge na CHADEMA "imeshindwa kabisa" kuwatetea.
Hapo inamaanisha Juliana Shonza anawaonea huruma wananchi wanyonge jinsi wanavyonyanyaswa na CCM na sasa wamekosa mtetezi

Kwenye movies za mapigano ya Karate/Kungfu, etc nilipata kushuhudia kijana anayefunzwa akimshambulia trainer wake na mihasira akajikuta yuko chini ndani ya nukta moja tu. hapo trainer akamwambia: "do not attack while you are angry". Sasa hapa akina Juliana wana chuki na hasira dhidi ya CHADEMA hadi wanajikuta wanatoa kauli ambazo kimsingi zinathibitisha jinsi walivyo wakandamizaji wa wananchi hadi kutamani CHADEMA iwe mtetezi. Kama wana nia njema na wananchi, kwa nini ahitajike mtetezi wa wanyonge dhidi yao?
 
90% ya wanasiasa watanzania mnasumbuliwa na njaa..Njaa na uwezo mdogo kichwani ndio vimesababisha watanzania wengi kuwa wanasiasa..

Siasa kwa Tanzania ni moja ya ajira rahisi saana na vigezo vyake ni rahisi pia, unahitaji vitu vifuatavyo kuajiriwa kwenye siasa za Tanzania,
Unafiki, Mama huruma, uchawi,kujipendekeza..

Matokeo yake ni kuendelea kuifanya Tanzania moja ya Taifa masikini kabisa, Taifa halijengwi kw a mdomo, mdomo hauwezi kuwa mchango wa ujenzi wa Taifa, Tanzania ni moja ya nchi duniani yenye wanasiasa wengi saaana na hii yote ni sababu ya uvivu halafu mnataka watu walipe kodi..

Mama unalipa kodi kiasi gani katika taifa hili kila mwezi??
 
CHADEMA ilikuwa na thamani chini ya katibu Mkuu Dr Slaa. CHADEMA ya sasa ni pango la majizi na mafisadi

Hata Dr Slaa angerudi Leo mkaona anawagaragaza mngenza agenda yenu ya kumchafua.

Kwanza nyie uongozi wa chama kingine unawahusu nini?! Uongozi wa mpinzani wenu ukiwa mbovu si ndiyo faida kwenu? Acheni unafiki.
 
Kumbe
Mwandishi maarufu wa Vitabu, Mmarekani mwenye asili ya Italia, anayeitwa MARIO PUZZO aliandika maneno yafuatayo katika moja ya vitabu vyake maarufu, kinachoitwa ‘’THE GODFATHER” ninamnukuu;
“We are a family, and the LOYALTY of the family must come before anything and everyone else. For if we honor that commitment, we will never be vanquished – but if we falter in that loyalty, we will all be CONDEMNED”

MWENYE - ENZI MUNGU alipomuumba mwanadamu alimpa MWONGOZO kisha akawatuma Mitume yake ije iufundishe muongozo huo kwa watu, kisha ikawekwa bayana kuwa atakayeufuata Muongozo huo ataongoka na atalipwa PEPO na atakayeuacha ataangamia na MOTONI yatakuwa ndio marejeo yake.

Katika Zaburi 51:6 inasema “Tazama wapendezwa na KWELI iliyo moyoni nawe utanijulisha hekima kwa siri” walio wakristo wenzangu wanafahamu mstari ukianza na neno ‘TAZAMA’ inamaanisha nini.

Baada ya utangulizi huo, kila mmoja wetu anajua kuwa LOWASSA kashindwa kwa aibu kwenye uchaguzi mkuu wa October 2015 na ni wazi kuwa MAGUFULI ndio rais wa AWAMU YA TANO wa Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA ambaye amekuwa ni MFANO WA KUIGWA duniani kote.

Naandika maneno haya, nikielezea kwa ufupi kabisa sababu zilizoipandisha na kuishusha CHADEMA hata kushindwa kwa aibu kabisa katika uchaguzi wa mwaka jana ili andiko hili liwe fursa ya kuamsha akili zao zilizolala.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilipanda na kukubalika kwa watanzania wengi kutoka na IMAGE ‘taswira” yake ya kutetea wanyonge, kutetea haki, uzalendo na kupinga ufisadi. Waki-stress katika hoja ya RUSHWA kama kiini cha Umasikini wa WATANZANIA.

Katika uchaguzi uliopita hali ilikuwa tofauti, walifanya makosa yatakayogharimu ‘uwepo’ wao katika ulingo wa siasa za nchi hii, makosa hayo ni kama yafuatayo;

Nitaanza kwa kifupi kueleza makosa ya kijinga waliyofanya CHADEMA kabla ya kuelezea yale ya msingi;

1. TAMAA – Viongozi wakuu wa CHADEMA walipata UROHO wa ghafla wa kutaka kuingia ikulu kwa namna yeyote, wakasahau misingi, wakaivunja UAMINIFU (LOYALTY) kwa wananchi walioujenga kwa miaka mingi na kwa nguvu kubwa iliyojumuisha DAMU ya watanzania. Tamaa ikawafumba macho, ikatawala akili zao, ladha ya madaraka ikatawala mioyo yao.


2. JEURI – Viongozi wa CHADEMA walipatwa na jeuri, jeuri ambayo asili yake ni FEDHA aliyokuja nayo EDWARD LOWASSA, wakadharau ushauri, wakapingana na wataalamu wao waliokuwa wakiwaamini miaka yote. Wakawashushua na kuwaona sio lolote si chochote pale walipowaeleza hatari ya kumpokea EDWARD ndani ya CHADEMA.


3. KIBRI – M/kiti wa CHADEMA na genge lake wakapatwa na kibri, wakaacha Mbachao kwa msala upitao. Wakawashambulia wenzao Slaa, lipumba na kila aliyepingana nao katika wazo lao la kumuweka EDO kuwa nahodha wa chombo chao. Wakaamini katika Edo na Matajiri wenzake wanaomuunga mkono. Ujuaji ukawa mwingi na kujiona wao ni zaidi ya kila mtu.

Ukiacha makosa hayo ya kijinga, lipo kosa la msingi kabisa walilofanya CHADEMA, nalo si jingine isipokuwa ni kosa la KUACHA MISINGI yake. CHADEMA iliundwa ama kuasisiwa ikiwa na values na commitment zifutazo;

1. Image ya unyonge, u-nyerere na Uzalendo.

Watanzania masikini waliiona CHADEMA kuwa ni chama chao, wakakichangia kwa mali kidogo walizonazo, wakajitoa kwa hali na mali, wakawa tayari kufa ili kuinusuru CHADEMA wakiamini kuwa ni chama chao.

Lakini CHADEMA ikaamua kuwasaliti Masikini wa Tanzania, wakaamua kuukataa U-nyerere [wakajivua image ya ukombozi] wakasikika wakimkosoa hadharani na kupayuka kuwa Nyerere hawezi kuwa Mungu. Wakajivua uzalendo, wakaacha kuchangisha na kutegemea ruzuku ya Edward na Rostam et al.


2. Kuzika HOJA ya UFISADI.

Chadema waliamua kuikataa, kuipinga na kujiweka mbali kabisa na HOJA ya kupinga UFISADI wakawa wako busy kuwasafisha mafisadi. Sidhani walifanya tathmini kiasi gani lakini confusion iliyozaliwa katika vichwa vya watanzania haikumithilika.

Hoja hii ndio iliyoijenga na kuitambulisha CHADEMA kwa watanzania, imani ya watanzania kwa CHADEMA ilitokana na hoja hii. CHADEMA wakaachana na hoja hii kimzaha mzaha kabisa. Hoja iliyobeba UHAI wao.


3. Kuunda AJENDA mpya ya MFUMO.

Baada ya kuzika hoja ya UFISADI wakaibua hoja mpya ya MFUMO, wakawaambia watanzania kuwa ajenda yao ni kuondoa mfumo, kwani wamegundua kuwa tatizo sio WEZI, wala rushwa bali ni mfumo ndio unatengeneza wezi na rushwa – hoja ya hovyo kabisa.

Hoja hii si tu kuwa HAIKUELEWEKA kwa Watanzania lakini imeendelea kuwa MAZINGAOMBWE hata kwa wasomi wenye ufahamu kujua kusudi na maana halisi ya MFUMO kama inavyotumiwa na CHADEMA.


4. MBOWE kuendelea kuwa M/kiti wa CHADEMA.

Miaka ya nyuma kidogo, nilieleza doubts zangu katika uwezo na maarifa ya MBOWE katika kuki-transform chama na kukiwezesha kushika dola, sikueleweka, labda sasa nitaeleweka. Lakini hata nikieleweka sasa, it’s too late, Chadema imeshapoteza watu muhimu, wasomi wenye maarifa, viongozi wenye uzalendo na kweli katika mioyo yao, wamepoteza waadilifu na sifa ya uadilifu, Chadema ya leo iko mikononi mwa wezi na mafisadi wa nchi hii, hakuna namna wanaweza kuondoka kirahisi, hata ikiwa MBOWE atajiuzulu sasa.

Mbowe betrayed principles and pillars of the family, amedanganywa akadanganyika, amepoteza legitimacy ya ku-lead the family, amekiuka misingi na commitment in the family – He must be disposed.


5. CHADEMA hawana utaratibu wa kujifanyia TATHMINI.

Chama makini hujifanyia tathmini kila jioni,kila mwezi, kila mwaka na kila baada ya tukio kubwa kama la uchaguzi. Chadema wanahitaji in-depth evaluation lakini najua kwa hakika hawatofanya kwani wao wanaamini kuwa wao ni intelligent kupindukia, hivyo hawakosei na hivyo hawana utaratibu wa kurudi mezani kujitathmini. Hili ni kosa la msingi kabisa, maana kama wangelikuwa wanafanya tathmini wasingelikubali LOWASSA kuwa mgombea wao wa milele (maana amejitangaza kuwa 2020 yumo).

Kwa makosa hayo, yote ya aina mbili yale ya msingi na hata yale ya kijinga CHADEMA imepoteza LOYALTY kwa watanzania, hawaaminiki tena, ndio maana wamepoteza uchaguzi uliopita na watapoteza zaidi.

Katika kitu kigumu ku-regain ni LOYALTY (UAMINIFU) kwani uaminifu ni kama roho, ikiachana na mwili haiwezi kurudi kwenye mwili huo. Once it’s gone, it is gone forever wenye akili mwili ukiachana na roho wanauchukua mwili huo na kuuzika haraka kabla haujaanza kuharibika na kutoa harufu mbaya, CHADEMA imeachana na ROHO yake, wenye akili wanajua kuwa MAITI mahala pake KABURINI.

View attachment 325157
Kumbe Kuna wanyonge wako wengi wanakandamizwa na serikali ya CCM alafu CHADEMA wanashindwa kuwatetea, jamani CDM wateteeni hao wanyonge maana hali ni mbaya kwao
 
Hoja zako Mheshimiwa Juliana Shonza ingawa zina msingi wake lakini zina walakini pia zina upogo katika kuziwasilisha kwake. Kwanza andiko lako limejaa mikingamo ya kutosha kiasi kwamba huwezi kujulikana kama unashutumu au unaionea huruma CHADEMA!!

Kwanza unasema kwenye uchaguzi wa Mwaka jana Lowassa alishindwa kwa "aibu". Hivi watu zaidi ya (kwa mujibu wa Lubuva) milioni sita waliomchagua Lowassa ambao ni sawa na asilimia karibia 40 ni aibu hiyo? Ina maana kati ya watu 10 watu 4 walimchagua Lowassa na wewe unasema ushindi wa aina hiyo ni aibu?

Lowassa hakutumia hila. ghilba, wala nguvu ya dola kupata kura alizozipata halafu unasema kwamba ameshindwa kwa aibu? Halafu kwa nini maandiko yenu yanaonesha kwamba ndani ya nafsi zenu mlitaka Lowassa ashinde? Au ndiyo yale mambo ya kikulacho ki nguoni mwako unatimia? Bila shaka mbele ya safari wanaowakodisha watakuja kugundua nyie ni watu wa aina gani.

Hoja nyingine ambayo ilitakiwa isitoke kwenye kundi lenu ni hii ya kusema kwamba CHADEMA imeacha kuwatetea wanyonge. CHADEMA imeacha kuwatetea wanyonge dhidi ya nani? Bila shaka kama CHADEMA ilikuwa na imeacha kuwatetea wanyonge, basi ni dhidi ya CCM na serikali inayoongozwa na CCM. Kwa maana nyingine wewe na wenzako mnakiri wazi kuwa kuna wanyonge wanaogandamizwa na CCM na wanatakiwa kutetewa.
VERY RIGHT,

Labda nimshauri Juliana(EX-CDM) shauri kama hizi wapelekee Lumumba inaweza kuwasaidia kuliko kuishauri CDM.Ushapata talaka yako ya humu CDM hayakuhusu.Umeshaolewa mshauri mumeo sio mtalaka wako.FULL STOP
 
Mbona mnahangaika sana , hebu endeleeni na li chama lenu la kijani kibichi chini ya mhutu aliyekuja kabebwa mgongoni toka kwao Rwanda.
 
Back
Top Bottom