Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Rafiki yangu ana galfrd wake ambae wamedumu nae kwa takribani mwaka sasa,jamaa alikua na mipango mizuri sana kumhusu huyu dada lakni imetokea jamaa kabadilika ghafla baada ya yule mdada kumwambia kwamba eti ana ugonjwa wa ''athma'',mshikaji anadai eti huo ugonjwa ni wa kurith so anaogopa wanae wasije wakarith maradhi.kuna ukweli kwenye hlo swala wakuu?