Manager
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 531
- 73
mkuu! ndo imetoka hiyo, hakuna usemi tena hapo!
Mwambieni aje JF akutane na ushauri huu
mkuu! ndo imetoka hiyo, hakuna usemi tena hapo!
Baada ya kurejea toka Afrika kusini alikokuwa anatibiwa baada ya kufanyiwa unyama na watu wa TISS,Ulimboka anataka kufanya kile waingereza wanachoamini kuwa ni sawa na Grave mistake. Niliwahi kushauri siku chache kabla hajarejea kuwa mara atakapotua tu uwanja wa ndege wa JKNIA atuambie kwa ufasaha wale waliomteka na kumtesa. Kitendo cha kuendelea kukaa kimya hakiwezi kumuacha salama. Iwe ametishwa,amehongwa ama ameogopa yeye mwenyewe. Jambo moja litakalomtokea kwa yeye kuendelea kukaa kimya ni kuuawa. Ajue kila kukicha majitu ya TISS yanapanga namna ya kummaliza. Kama anafikiri natania akaulize kilichomtokea mkosoaji mashuhuri wa Kenya wakati wa utawala wa Moi ambapo baada ya mitego mingi ya kumuua kugonga mwamba alitekwa na watu wa usalama, akauawa na hatimaye kumwagiwa acid mwili mzima na kutupwa msituni. Aliokotwa na wawindaji ambao walitoa taarifa polisi na mwili wake kupelekwa mochwari. Wakati mhudumu wa mochwari akiuandaa mwili wa marehemu alikuta kitambulisho na ndipo alipogundua kuwa alikuwa ni Muruiki ambaye siku chache alikuwa amepotea. Mhudumu yule alituma sms kwa mmoja wa wabunge wa upinzani wakati bunge likiendelea. Moto uliwaka katika bunge la Kenya. Mpaka leo Muruiki ni marehemu na hakuna aliyekamatwa.
Ulimboka, Don'nt do what the British call as Grave Mistake. Usiposema sasa utakufa hakika. Tafakari.
Inamaana unataka amtaje Lema na wenzake? Maana ndio hao waliomteka.....kisha akishawataja muanze kumkana humu jamvini si ndio?
Mwambieni aje JF akutane na ushauri huu
Baada ya kurejea toka Afrika kusini alikokuwa anatibiwa baada ya kufanyiwa unyama na watu wa TISS,Ulimboka anataka kufanya kile waingereza wanachoamini kuwa ni sawa na Grave mistake. Niliwahi kushauri siku chache kabla hajarejea kuwa mara atakapotua tu uwanja wa ndege wa JKNIA atuambie kwa ufasaha wale waliomteka na kumtesa. Kitendo cha kuendelea kukaa kimya hakiwezi kumuacha salama. Iwe ametishwa,amehongwa ama ameogopa yeye mwenyewe. Jambo moja litakalomtokea kwa yeye kuendelea kukaa kimya ni kuuawa. Ajue kila kukicha majitu ya TISS yanapanga namna ya kummaliza. Kama anafikiri natania akaulize kilichomtokea mkosoaji mashuhuri wa Kenya wakati wa utawala wa Moi ambapo baada ya mitego mingi ya kumuua kugonga mwamba alitekwa na watu wa usalama, akauawa na hatimaye kumwagiwa acid mwili mzima na kutupwa msituni. Aliokotwa na wawindaji ambao walitoa taarifa polisi na mwili wake kupelekwa mochwari. Wakati mhudumu wa mochwari akiuandaa mwili wa marehemu alikuta kitambulisho na ndipo alipogundua kuwa alikuwa ni Muruiki ambaye siku chache alikuwa amepotea. Mhudumu yule alituma sms kwa mmoja wa wabunge wa upinzani wakati bunge likiendelea. Moto uliwaka katika bunge la Kenya. Mpaka leo Muruiki ni marehemu na hakuna aliyekamatwa.
Ulimboka, Don'nt do what the British call as Grave Mistake. Usiposema sasa utakufa hakika. Tafakari.
Tatizo la wabongo mnapenda sana udaku, Ulimboka is a wise man, na ndivyo hivyox2 mtu mwenye busara yeyote angefanya. na uvumi wote huo mnataka kuukoleza moto kwa sababu mumeumbuka, kwa kutoa habari zisizo na mashiko. sasa mnalazimisha ulimboka aongee kutokana na hisia zenu. Ulimboka amejikabidhi kwa Mungu, na hakuna mikono salama zaidi ya Mungu, kwa ufupi kila mtu atakufa siku zake zikifika. so muacheni mwenzenu apumuzike acheni umbeya. Ulimboka na Mungu ndo wanajua kilichotokea, na ni Mungu Pekee ndo atakuwa judge wa hili. So big up ulimboka nakutakia afya njema na maisha marefu.Baada ya kurejea toka Afrika kusini alikokuwa anatibiwa baada ya kufanyiwa unyama na watu wa TISS,Ulimboka anataka kufanya kile waingereza wanachoamini kuwa ni sawa na Grave mistake. Niliwahi kushauri siku chache kabla hajarejea kuwa mara atakapotua tu uwanja wa ndege wa JKNIA atuambie kwa ufasaha wale waliomteka na kumtesa. Kitendo cha kuendelea kukaa kimya hakiwezi kumuacha salama. Iwe ametishwa,amehongwa ama ameogopa yeye mwenyewe. Jambo moja litakalomtokea kwa yeye kuendelea kukaa kimya ni kuuawa. Ajue kila kukicha majitu ya TISS yanapanga namna ya kummaliza. Kama anafikiri natania akaulize kilichomtokea mkosoaji mashuhuri wa Kenya wakati wa utawala wa Moi ambapo baada ya mitego mingi ya kumuua kugonga mwamba alitekwa na watu wa usalama, akauawa na hatimaye kumwagiwa acid mwili mzima na kutupwa msituni. Aliokotwa na wawindaji ambao walitoa taarifa polisi na mwili wake kupelekwa mochwari. Wakati mhudumu wa mochwari akiuandaa mwili wa marehemu alikuta kitambulisho na ndipo alipogundua kuwa alikuwa ni Muruiki ambaye siku chache alikuwa amepotea. Mhudumu yule alituma sms kwa mmoja wa wabunge wa upinzani wakati bunge likiendelea. Moto uliwaka katika bunge la Kenya. Mpaka leo Muruiki ni marehemu na hakuna aliyekamatwa.
Ulimboka, Don'nt do what the British call as Grave Mistake. Usiposema sasa utakufa hakika. Tafakari.
mkuu wa kaya alitaka kumtembelea akiwa pale MOI jamaa akakataa,dr.ulimboka anamisimamo mikali sana,hatujui amepanga nini sasa hiviPengine anataka kulipiza kimya kimya kwanza.... Uovu aliotendewa mtu yeyote lazima alipize labda awe ameokoka baada ya kupona kwa kifo cha kabla ya wakati.....
Anashindwa kuelewa msimamo wa watanzania kama nani atakuja kumsapoti wengi ni waoga... na ashiaki kwa nani hivi maana haijakaa sawa hii... Sijasikia Raisi akienda kumtembelea na kumjulia hali yake au keshaenda kimya kimya na kumuambia amezee anampa kiwizara akiongoze kumpunguzia machungu kama Mnyakyusa mwenzake Mwaikyembe.. watu wa mbeyaa akuwaahidi kicheo wanamezea tu wana tizama future tu.... ndio manawamalawi wanawataka sana kuwarejesha kwenye himaya yao...