CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Azungumze mara ngapi? Kwani aliyozungumza youtube hayatoshi? Me naona kamaliza kila kitu kwenye mahojiano ya mara ya kwanza, ambayo Mwanahalisi waliyachapisha, lakini hakuna jipya lililoendelea zaidi ya kulifungia gazeti.. Tusiwe wavivu tutafute mahojiano kwenye mtandao wa youtube.. Dr Ulimboka kafunguka mambo yote..
Ushuhuda wa Dr. Stephen Ulimboka - YouTube