Ushauri Kwa Channel Ten, Japo ni TV ya CCM, Zingatieni Professionalism za Newsworthyness za Kihabari Kutanguliza Mbele Maslahi ya Taifa, CCM Ifuatie.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,524
113,658
Wanabodi,

Kwanza natoa pongezi kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dr. John Pombe Magufuli, kukinusuru kituo cha TV cha Channel Ten, kuwa chini ya CCM, na kwa vile mimi ni mwana habari, naelewa fika fedha za kuinusuru Channel Ten, zinatoka wapi, hivyo natoa wito kwa uongozi wa Channel Ten, kwa kuwapa ushauri wa bure kuwa japo TV hiyo inamilikiwa na CCM, lakini kwa vile ni chombo cha habari za umma, bado wanapaswa kuzingatia professionalism latika kupanga vipaumbele vya news zao kwa mujibu wa Newsworthyness za kihabari kwa kutanguliza mbele maslahi ya Taifa, ndipo CCM ifuatie.

Leo katika taarifa yake ya habari ya saa 1:00 usiku, habari ya kwanza ni Maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, yaliyoandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere cha UDSM, insert ni Katibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru.

News ya pili ni kujiandikisha kwa Dr. Bahiru uchaguzi wa serikali za mitaa, insert ni Dr. Bashiru akiongea.

News ya tatu ni Dr. Bashiru akitembelea mahali kisha ikawekwa tena insert ya Dr. Bashiru!.

Yaani news items tatu, ndani ya bulletin moja, zote zikimuonyesha KM Dr. Bashiru na kuweka inserts zake consecutively, what sort of professionalism is this?.

Baada ya hizo news tatu za Dr. Bashiru, ndipo ikaja news ya Waziri Mkuu Majaliwa!. Hata kama Dr. Bashiru ndio bosi, ndio muweke news zake tatu zikifuatana?.

Kuna baadhi ya watu, news za Channel Ten ndio first preference yetu of choice, kitendo cha kui CCMmisha Channel Tena, sasa kila kitu ni CCM tuu, kutawafanya mpoteze mvuto na kupoteza watazamaji.

Bahati nzuri nimefanya kazi news room ya Channel Ten, enzi hizo ikiwa chini ya Shabbir Dewji na Franco Tramontana, hakuna hata mara moja news ya mtu mmoja yule yule yuko kwenye news items tatu consecutively hata awe ni rais wa JMT.

The best way to do this bila ku bore watu ni splitting them and spreading them. Item moja ya insert ya Bashiru ikae mwanzo, katikati ingiza items nyingine mbili tatu kisha mrudie Bashiru, na the last iweke mwisho. Au kwa vile mna taarifa nyingi, news item ya kwanza itoke saa moja, ya pili itoke njema, ya tatu itoke kesho yake.

Naombeni sana msije kuni lebel kuwa ushauri huu its about CCM, no it's just about professionalism, nothing more, nothing less, and I apologize, if it makes you feel bad, maana kuwa critic kwa TV ya chama dola, kunaweza kuhesabiwa ni kuwa critic kwa dola!.

Paskali
Broadcast Journalists since
1990-1995, RTD
1995-1999, Channel Ten
2000-2005, TVT
From 2006 to date - Freelancer

Rejea za Profesionalism kwenye Broadcast Media.




 
Sasa hivi hakuna chombo chochote cha habari rasmi ambacho hakijanajisiwa na uccm na kumtukuza mungu wa Tanzania, mitandao ya kijamii peke yake ndio imebaki na habari huru. Ila vyombo vya habari vyote vimerudishwa karne iliyopita ya kumsujudia kiongozi na chama chake. Sisi tusioabudu sanamu tunapata habari humu mitandaoni tu.
 
Ulitaka waanzane na ya Magufuli, nashangaa kwani kuna tofauti gani, wasingeanzana na ya Bashiru wangeanzana na ya Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa CCM
 
Wanabodi,

Kwanza natoa pongezi kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dr. John Pombe Magufuli, kukinusuru kituo cha TV cha Channel Ten, kuwa chini ya CCM, na kwa vile mimi ni mwana habari, naelewa fika fedha za kuinusuru Channel Ten, zinatoka wapi, hivyo natoa wito kwa uongozi wa Channel Ten, kwa kuwapa ushauri wa bure kuwa japo TV hiyo inamilikiwa na CCM, lakini kwa vile ni chombo cha habari za umma, bado wanapaswa kuzingatia professionalism latika kupanga vipaumbele vya news zao kwa mujibu wa Newsworthyness za kihabari kwa kutanguliza mbele maslahi ya Taifa, ndipo CCM ifuatie.

Leo katika taarifa yake ya habari ya saa 1:00 usiku, habari ya kwanza ni Maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, yaliyoandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere cha UDSM, insert ni Katibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru.

News ya pili ni kujiandikisha kwa Dr. Bahiru uchaguzi wa serikali za mitaa, insert ni Dr. Bashiru akiongea.

News ya tatu ni Dr. Bashiru akitembelea mahali kisha ikawekwa tena insert ya Dr. Bashiru!.

Yaani news items tatu, ndani ya bulletin moja, zote zikimuonyesha KM Dr. Bashiru na kuweka inserts zake consecutively, what sort of professionalism is this?.

Baada ya hizo news tatu za Dr. Bashiru, ndipo ikaja news ya Waziri Mkuu Majaliwa!. Hata kama Dr. Bashiru ndio bosi, ndio muweke news zake tatu zikifuatana?.

Kuna baadhi ya watu, news za Channel Ten ndio first preference yetu of choice, kitendo cha kui CCMmisha Channel Tena, sasa kila kitu ni CCM tuu, kutawafanya mpoteze mvuto na kupoteza watazamaji.

Bahati nzuri nimefanya kazi news room ya Channel Ten, enzi hizo ikiwa chini ya Shabbir Dewji na Franco Tramontana, hakuna hata mara moja news ya mtu mmoja yule yule yuko kwenye news items tatu consecutively hata awe ni rais wa JMT.

The best way to do this bila ku bore watu ni splitting them and spreading them. Item moja ya insert ya Bashiru ikae mwanzo, katikati ingiza items nyingine mbili tatu kisha mrudie Bashiru, na the last iweke mwisho. Au kwa vile mna taarifa nyingi, news item ya kwanza itoke saa moja, ya pili itoke njema, ya tatu itoke kesho yake.

Naombeni sana msije kuni lebel kuwa ushauri huu its about CCM, no it's just about professionalism, nothing more, nothing less, and I apologize, if it makes you feel bad, maana kuwa critic kwa TV ya chama dola, kunaweza kuhesabiwa ni kuwa critic kwa dola!.

Paskali
Broadcast Journalists since
1990-1995, RTD
1995-1999, Channel Ten
2000-2005, TVT
From 2006 to date - Freelancer

Rejea za Profesionalism kwenye Broadcast Media.




Mkuu Pascal Mayalla miaka ya 1995 nadhani Channel Ten ilikuwa bado bali kulikuwa na DTV. Nakumbuka sekeseke la kumtangaza Maalim Seif kwamba kashinda uchaguzi kule Zanzibar 1995! Nakumbuka kama wewe ndio ulitangaza habari ile bila kufuata uweledi!!! Nakumbuka kipindi chako cha mada motomoto!!
 
Wanabodi,

Kwanza natoa pongezi kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dr. John Pombe Magufuli, kukinusuru kituo cha TV cha Channel Ten, kuwa chini ya CCM, na kwa vile mimi ni mwana habari, naelewa fika fedha za kuinusuru Channel Ten, zinatoka wapi, hivyo natoa wito kwa uongozi wa Channel Ten, kwa kuwapa ushauri wa bure kuwa japo TV hiyo inamilikiwa na CCM, lakini kwa vile ni chombo cha habari za umma, bado wanapaswa kuzingatia professionalism latika kupanga vipaumbele vya news zao kwa mujibu wa Newsworthyness za kihabari kwa kutanguliza mbele maslahi ya Taifa, ndipo CCM ifuatie.

Leo katika taarifa yake ya habari ya saa 1:00 usiku, habari ya kwanza ni Maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, yaliyoandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere cha UDSM, insert ni Katibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru.

News ya pili ni kujiandikisha kwa Dr. Bahiru uchaguzi wa serikali za mitaa, insert ni Dr. Bashiru akiongea.

News ya tatu ni Dr. Bashiru akitembelea mahali kisha ikawekwa tena insert ya Dr. Bashiru!.

Yaani news items tatu, ndani ya bulletin moja, zote zikimuonyesha KM Dr. Bashiru na kuweka inserts zake consecutively, what sort of professionalism is this?.

Baada ya hizo news tatu za Dr. Bashiru, ndipo ikaja news ya Waziri Mkuu Majaliwa!. Hata kama Dr. Bashiru ndio bosi, ndio muweke news zake tatu zikifuatana?.

Kuna baadhi ya watu, news za Channel Ten ndio first preference yetu of choice, kitendo cha kui CCMmisha Channel Tena, sasa kila kitu ni CCM tuu, kutawafanya mpoteze mvuto na kupoteza watazamaji.

Bahati nzuri nimefanya kazi news room ya Channel Ten, enzi hizo ikiwa chini ya Shabbir Dewji na Franco Tramontana, hakuna hata mara moja news ya mtu mmoja yule yule yuko kwenye news items tatu consecutively hata awe ni rais wa JMT.

The best way to do this bila ku bore watu ni splitting them and spreading them. Item moja ya insert ya Bashiru ikae mwanzo, katikati ingiza items nyingine mbili tatu kisha mrudie Bashiru, na the last iweke mwisho. Au kwa vile mna taarifa nyingi, news item ya kwanza itoke saa moja, ya pili itoke njema, ya tatu itoke kesho yake.

Naombeni sana msije kuni lebel kuwa ushauri huu its about CCM, no it's just about professionalism, nothing more, nothing less, and I apologize, if it makes you feel bad, maana kuwa critic kwa TV ya chama dola, kunaweza kuhesabiwa ni kuwa critic kwa dola!.

Paskali
Broadcast Journalists since
1990-1995, RTD
1995-1999, Channel Ten
2000-2005, TVT
From 2006 to date - Freelancer

Rejea za Profesionalism kwenye Broadcast Media.




Yaani hata kama ni upambe kwa wanavyofanya chanel ten, ni ule hadi boss ananuna!! Kweli siku hizi picha zao zinang'aa vizuri kwani ni kituo pekee cha muda mrefu lakini kilikuwa hakina mvuto kabisa, ki mtazamo, unaangalia tv hadi unatoa machozi utadhania picha zina moshi moshi?!! Wao hata kama kwa sasa ni kituo cha chama lakini kuna mambo ya kitaifa wanatakiwa wayape kipaumbele!!! Kila siku kama sio habari za bashiru basi ni yule bushman!!
 
Wanabodi,

Kwanza natoa pongezi kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dr. John Pombe Magufuli, kukinusuru kituo cha TV cha Channel Ten, kuwa chini ya CCM, na kwa vile mimi ni mwana habari, naelewa fika fedha za kuinusuru Channel Ten, zinatoka wapi, hivyo natoa wito kwa uongozi wa Channel Ten, kwa kuwapa ushauri wa bure kuwa japo TV hiyo inamilikiwa na CCM, lakini kwa vile ni chombo cha habari za umma, bado wanapaswa kuzingatia professionalism latika kupanga vipaumbele vya news zao kwa mujibu wa Newsworthyness za kihabari kwa kutanguliza mbele maslahi ya Taifa, ndipo CCM ifuatie.

Leo katika taarifa yake ya habari ya saa 1:00 usiku, habari ya kwanza ni Maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, yaliyoandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere cha UDSM, insert ni Katibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru.

News ya pili ni kujiandikisha kwa Dr. Bahiru uchaguzi wa serikali za mitaa, insert ni Dr. Bashiru akiongea.

News ya tatu ni Dr. Bashiru akitembelea mahali kisha ikawekwa tena insert ya Dr. Bashiru!.

Yaani news items tatu, ndani ya bulletin moja, zote zikimuonyesha KM Dr. Bashiru na kuweka inserts zake consecutively, what sort of professionalism is this?.

Baada ya hizo news tatu za Dr. Bashiru, ndipo ikaja news ya Waziri Mkuu Majaliwa!. Hata kama Dr. Bashiru ndio bosi, ndio muweke news zake tatu zikifuatana?.

Kuna baadhi ya watu, news za Channel Ten ndio first preference yetu of choice, kitendo cha kui CCMmisha Channel Tena, sasa kila kitu ni CCM tuu, kutawafanya mpoteze mvuto na kupoteza watazamaji.

Bahati nzuri nimefanya kazi news room ya Channel Ten, enzi hizo ikiwa chini ya Shabbir Dewji na Franco Tramontana, hakuna hata mara moja news ya mtu mmoja yule yule yuko kwenye news items tatu consecutively hata awe ni rais wa JMT.

The best way to do this bila ku bore watu ni splitting them and spreading them. Item moja ya insert ya Bashiru ikae mwanzo, katikati ingiza items nyingine mbili tatu kisha mrudie Bashiru, na the last iweke mwisho. Au kwa vile mna taarifa nyingi, news item ya kwanza itoke saa moja, ya pili itoke njema, ya tatu itoke kesho yake.

Naombeni sana msije kuni lebel kuwa ushauri huu its about CCM, no it's just about professionalism, nothing more, nothing less, and I apologize, if it makes you feel bad, maana kuwa critic kwa TV ya chama dola, kunaweza kuhesabiwa ni kuwa critic kwa dola!.

Paskali
Broadcast Journalists since
1990-1995, RTD
1995-1999, Channel Ten
2000-2005, TVT
From 2006 to date - Freelancer

Rejea za Profesionalism kwenye Broadcast Media.




Channel ten mhariri mkuu ni Salum Mkambala, nadhani amekusikia!
 
Hivi bado kuna watanzania wanafuatilia taarifa za habari kwenye vyombo vya habari vya Tanzania?

Huo utakuwa ni uzuzu.
 
Back
Top Bottom