JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Mkuu Pascal Mayalla miaka ya 1995 nadhani Channel Ten ilikuwa bado bali kulikuwa na DTV. Nakumbuka sekeseke la kumtangaza Maalim Seif kwamba kashinda uchaguzi kule Zanzibar 1995! Nakumbuka kama wewe ndio ulitangaza habari ile bila kufuata uweledi!!! Nakumbuka kipindi chako cha mada motomoto!!
..aliyetangaza kuwa Maalim kashinda hakuwa Godfrey Mngodo?
Cc Pascal Mayalla