Warue
JF-Expert Member
- Aug 9, 2012
- 424
- 810
WanaJF
Jana tumeshudia mtia nia wa pili ccm akitangaza rasmi safari alioiita ya matumaini kwake. Kwa uhakika kwa umati ule wa watu hata wagombea wengine wenye roho nyepesi wanaweza kujiodoa kwenye kinyang'anyiro. Kwa wagombea wengine wa CCM, rai yangu kwenu ni kwamba msiogope,,mpinzani wenu mkuu ni mlaini sana ila msitumie hila kumuondoa, tumieni haki na ataondoka mwenyewe.
Najua na ninaamini JK yupo kwenye wakati mgumu sana kipindi kwa sababu kuu mbili;
1. Kuhakikisha chama hakipasuki kutokana na tofauti kubwa iliopo kati ya makundi ya urais
2. Kuhakikisha mteule wa CCM anashinda katika uchaguzi mkuu hapo october.
Katika kufikia maamuzi yenye matunda kwa chama na kwa usalama ya nchi yetu, ni lazima ENL aondolewe kwenye mchakato tena mapema kabisaaa kwani,
1. Hana ajenda
2. Amechafuka
3. Afya yake sio nzuri sana
4. Kuna uwezekano wa kisasi
5. Kundi lake limejaa wachafu
6. Ana marafiki wengi mno
7. Kampuni zake zinanyonya waTz
NAMNA YA KUMUINDOA LOWASA.
Kwa sababu hana ajenda na hawezi kuongea kuwaconvince watu, basi chama kitumie DEBATE kwa watia nia wote. Napendekeza debate 5 na zionyeshwe live kupitia channel zote. Nina uhakika kati ya wagombea wote Lowasa atakuwa wa mwisho.
FAIDA YA DEBATE KWA CCM
Udhaifu wake utakuwa umeonekana na hivyo hata akikatwa jina hakutakuwa na wa kumhurumia. Atakuwa amejiondoa mwenyewe.
Nawasilisha.
Jana tumeshudia mtia nia wa pili ccm akitangaza rasmi safari alioiita ya matumaini kwake. Kwa uhakika kwa umati ule wa watu hata wagombea wengine wenye roho nyepesi wanaweza kujiodoa kwenye kinyang'anyiro. Kwa wagombea wengine wa CCM, rai yangu kwenu ni kwamba msiogope,,mpinzani wenu mkuu ni mlaini sana ila msitumie hila kumuondoa, tumieni haki na ataondoka mwenyewe.
Najua na ninaamini JK yupo kwenye wakati mgumu sana kipindi kwa sababu kuu mbili;
1. Kuhakikisha chama hakipasuki kutokana na tofauti kubwa iliopo kati ya makundi ya urais
2. Kuhakikisha mteule wa CCM anashinda katika uchaguzi mkuu hapo october.
Katika kufikia maamuzi yenye matunda kwa chama na kwa usalama ya nchi yetu, ni lazima ENL aondolewe kwenye mchakato tena mapema kabisaaa kwani,
1. Hana ajenda
2. Amechafuka
3. Afya yake sio nzuri sana
4. Kuna uwezekano wa kisasi
5. Kundi lake limejaa wachafu
6. Ana marafiki wengi mno
7. Kampuni zake zinanyonya waTz
NAMNA YA KUMUINDOA LOWASA.
Kwa sababu hana ajenda na hawezi kuongea kuwaconvince watu, basi chama kitumie DEBATE kwa watia nia wote. Napendekeza debate 5 na zionyeshwe live kupitia channel zote. Nina uhakika kati ya wagombea wote Lowasa atakuwa wa mwisho.
FAIDA YA DEBATE KWA CCM
Udhaifu wake utakuwa umeonekana na hivyo hata akikatwa jina hakutakuwa na wa kumhurumia. Atakuwa amejiondoa mwenyewe.
Nawasilisha.