ACHA IYO MANENO MBOF MBOF KAKA,mapenz hapo ivo et nioe kisa hana mtto,vp kama sijampenda??ndoa n upendo kwanza umpende dem ,sasa uyu msela kampenda dem mwenye mmto,haikataliw ,kina cho msumbua jamaa ni wvu tu,bt km mwanamke ni Smart enough hawez fanya lolote na uyo babà watto wake,suala apo ni jamaa kujua dem wake ANA akil gan na upeo wake maana madem wa sku iz chup mkonon akil zpo matakon,na ishu ya mtto kwenda kule its ok ndo kwao kwan ww sio babà ake na hata ukimsomesha jua atasaidia kwao ww ztabaki shukran tu mbele ya mungu,ishu apa ni dem wako aheshimu feelings zako kua hupend awe karbu na kule paspo na kifo au maradh,na km dem ana akil bas atakusoma vema,ww n mmoja ktk wanaume bab,sio wote wanaweza fanya ivo kama kwel hujawai taliki(talaka) au hujawai oa yan ndo ndoa yako ya mwanzo bas you r the best among the best ,msitiri uyo dada na Allah atawafanya ndoa yenu iwe n yenye baraka nying fi dunia wal akhera