Jumanne Mayala
Member
- Feb 25, 2014
- 39
- 1
Usitubutu.
ukikaidi utajuta. Hapo umechemka ebusoma uripoandika.
Usitubutu.
ukikaidi utajuta. Hapo umechemka ebusoma uripoandika.
Mkuu umechuma majanga, ukifanikiwa kuachana naye chagua mwanamke asiye na mtoto
Hivi kijana mdogo kama wewe huwaoni mabinti wote wanaotoka vyuoni ambao wako fresh?
Hebu tazama kwa mfano huyo mama anaumwa na anahitaji damu na kwa bahati mbaya damu yako wataalam wanasema haimfai halafu anakuja mzazi mwenzake anapimwa damu wataalam wanaihafiki na anatolewa damu ili kumuokoa huyo unayemuona wewe ni mpya je baada ya kupona wewe utajisikiaje?
Na ukumbuke siku ya mtoto wao kuoa au kuolewa wao ndio watakaa high table kama Baba na Mama mzaa chema.
Mnatuchosha kila siku kuomba ushauri wa kijinga wakati mabinti kibao wanahitaji kuolewa.
mwenye mtoto na aolewe na mwanaume mwenye mtoto pia hapo ndio ngoma droo na siyo mvulana mzima na barehe zako unataka used.
Kinachoniumza nksema namuacha analia hadi namuonea huruma.
Kinachoniumza nksema namuacha analia hadi namuonea huruma.
Uzi huu unawaumiza wakaka/wadada wenye watoto na wanashauku ya kuoa/kuolewa.
lara1 anajua kuwa nshakubali majukumu,tushaongea nae nkamwambia tutakaa na mtoto ila huko mwa mume wakisumbua tutamrudisha kwao.ila naona kama ni vgumu kumtengansha kwan hata leo hii mtoto kaenda kulala kwa shangazi yake(mdogo wake baba yake).
Kwa uzoefu wangu ni kuwa unatakiwa ujue kuwa mwanamke mwenye mtoto hupunguza upendo kwa mwenza hivyo humpenda mwanae kuliko mwenza. na mwanae ni damu ya huyo jamaa mwingine.
Kwa hiyo unaingia katka uhusiano wa tofaut kidogo, unakuhitaji uelewa wa ziada kwa mwanamke na kwa mtoto maana mwanamke muda mwingi utaona kama hakusikilizi anawaza kumchukua mtoto, naye mtoto anaweza kuwa akimlili baba yake sasa unabidi uwe na roho nzito ya upendo.
Mimi nilihamuweka ndani mwanamke wa hivyo miaka ya nyuma, niliinjoy maana life staili niliyokuwa naishi naye ni tofauti kidogo, mimi zangu ilikuwa naenda job nikirudi ni pombe na kupiga mzigo kinoma.nilikuwa kijana mbichi zaidi hivyo ilikuwa nikipiga bia mbili tatu nikiingia geto nikipiga msosi kilichobaki ni kupiga gemu kama masaa manne nalala nakuamka.bajeti ya ndani na watoto ilikuwa namuachia, na tulikuwa jioni siku moja moja namtoa na kupiga show usiku balaa. baba wa wale watoto alirudi kuomba kurudiana mwanamke akakataa kata kata kikubwa nadhani ni ile show nilikuwa natoa.
Sikuwa na ile kupelekana kwa ndugu au kupelekana kwa wakwe maana kule nako kuna fedheha yake, kwenda kwa wazazi wako na mwanamke mwenye mtoto wa mtu mwingine na unaishi na wewe bado kijana below 30 ni fedheha. walau uwe above 45 hapo hamna tabu.
zingatia hili" usikionee huruma kiumbe usichokizaa" kumbuka ukimuonea huruma jua ya kuwa leo analia yeye lakin kesho utalia wewe. Lakin tusije tukalazmisha kumfuga simba tukadhan ni mbwa nikimaanisha tunatoa ushaur kumbe ww hauko tayar kushaurika. Fanya kile nafsi yako inataka
Nmekusoma mkuu,ila vp mahusiano na huyo jamaa yake si yalirudi?
naomba nikukumbushe kitu, KUZAA NA MTU HAIMAANISHI NDIYE MUME AU MKE......naona kama hakuna ulichokisema cha maana hapo....
Screen touch noma aisee!
Kwani wanawake ambao hawajazaa hawapo mpaka uanze kupasua kichwa chako na huyo mama mtoto? Siku ukiambiwa baba mtoto amekuja kumsalimia "mtoto" usihoji wala kupanic. Uwe mpole maana umeyataka mwenyewe.Nna mahusiana na dada mmoja na nlitegemea awe mke wangu hapo baadae.Huyu dada ana mtoto na jamaa mwingine na alivyoniambia na kwamba hawana mahusiano tena na baba mwenye mtoto nkakubali ntamuoa.Cha kunitia wasiwasi ni ukarbu uliopo kati yake na familia ya huyo baba mwenye mtoto,yani wako karibu kiasi kwamba mtoto anaenda kulala huko.Huu ukarbu unanipa wasiwasi kama kweli waliachana au ni kunidanganya tu.Je baadae si utaleta shida kwenye familia yetu.Waungwana hebu naombeni ushauri wenu.
Kama unayahurumia machozi yake ipo siku utalia/utalizwa wewe.Kinachoniumza nksema namuacha analia hadi namuonea huruma.
yaani we kaka hujitambui kabisaaa. sasa unataka mtoto asiende kwa ndugu zake kisa ww na mawivu yako. wale ni ndugu zake tu. Ningekuwa huyo dada wala nisingelia ukisema unaniacha kwani hufai kuwa mume hata kidogo nyie ndio baadae mnakuja kunyanyapaa watoto. jiulize leo huyo dada kafariki mtoto ataenda wapi si kwa shangazi zake. jitambue ww