Ushauri:Kuoa mwanamke mwenye mtoto

Ushauri:Kuoa mwanamke mwenye mtoto

Mueleze tu msimamo wako na jinsi unavochukulia suala zima la yeye kujizoeza na wale kule. Na utoe amko rasmi je mtoto wewe msimamo wako uko vipi, unamlea au utajivua gamba?

Kuna tabia ya baadhi yenu hamtaki mtu ajihusishe na baby dady kwa lolote afu WAGUMU KAMA NYAMA CHOMA KUMUHUDUMIA YULE MTOTO matokea yake mnamuweka mama mtu kati. Ukiombwa ada na matumizi mengine wa kwanza kufungua bakuli lako "SI ANA BABA YAKE?" Afu mwenzio akiwa kwenye harakati za kujikombakomba ili ada itoke kwa urahisi WIVU unakujaaa! ni jambo lisilowezekana mawasiliano yakatike afu huduma iendelee. kama utkava kila kitu sioni kama kutakuwa na issue.

Hii ishu lara 1 nayo huwa kama sandakalawe...mwingine mama mtu anapewa huduma stahiki za mtoto lakini anagoma mtoto asiende hata kusalimia kwa huyo mtoa huduma (baba)!
 
kama unawivu achana na huo mchakato kwa sababu huyo mtoto uwezi mzuia kujua ndugu zake hata kidogo
 
eleza kwanini waliachana.mke huyo anafikiri mini kuhusu ex wake,mama salsa na motto anus Mojave awe waking na Hamas Asiatic Maguire Kaman hamtambui na kumhudumia au mama Saugatuck mote sense kwao na usimtambue Kaman Banque anangangania

Duuh...hii ndio shughuli ya ze tachi skrini au android sijui epo?...manake....
 
Kwa kutumia akili ya kawaida tu ni huwezi kumkataza huyo dada kumpeleka mtoto kwa ndugu zake. Unataka huyo mtoto akue bila kuwajua ndugu zake
Mambo mengine wivu inabidi uweke pembeni
 
sasa kaka mbona ulieleza mambo nusunusu now umefunguka na am getting the picture. mwambie ukweli kuwa hutaki mtt kulala huko awe anaenda kusalimia tu. na ye pia mwambie awe na haya kama mwanaume alimwambia hivyo anaenda kufanya nn huko si ujinga huo.
 
Mueleze tu msimamo wako na jinsi unavochukulia suala zima la yeye kujizoeza na wale kule. Na utoe amko rasmi je mtoto wewe msimamo wako uko vipi, unamlea au utajivua gamba?

Kuna tabia ya baadhi yenu hamtaki mtu ajihusishe na baby dady kwa lolote afu WAGUMU KAMA NYAMA CHOMA KUMUHUDUMIA YULE MTOTO matokea yake mnamuweka mama mtu kati. Ukiombwa ada na matumizi mengine wa kwanza kufungua bakuli lako "SI ANA BABA YAKE?" Afu mwenzio akiwa kwenye harakati za kujikombakomba ili ada itoke kwa urahisi WIVU unakujaaa! ni jambo lisilowezekana mawasiliano yakatike afu huduma iendelee. kama utkava kila kitu sioni kama kutakuwa na issue.
Daah Lara1 umebwatuka hadi ya rohoni; nionavyo mimi wewe oa kama vipi penzi litarudi kwa cha zamani kipendacho roho basi utamtema uvute mzigo mwingine. Mbona hata ukioa ambaye hana mtoto sula la kuchapiwa liko palepaleee? ujanja supu ya pweza mzeeee......
 
Ha ha ha, hawawezi kuelewa, maana hawana eksipiriensi

Wewe waache tu, wataelewa baadae

Wewe ndio huna maana hata chembe maana hata kusoma hujui ndio sembuse utajuwa kuchaguwa mwanamke? thubutu, kwa kifupi tu ili dunia iendelee kuwa tamu ni lazima yawepo mazuzu kama wewe.

Kongosho hebu lisaidie hili zombie kulisomea na kulitafsiria bandiko langu la kwanza nilikuwa nashauri nini watu wenye status gani ndio wanapaswa kuoana maana wote wana watoto.
 
Baadae ntaambiwa sjtambui kwa kumkataza kwenda kumuona mzaz mwenzake. Ishu ilyopo ni kwamba jamaa kashasema kumuoa haipo kwa sababu ilikuwa one nightstand,yan nn sasa kujpeleka kwao ili hal jamaa ashamkataa na haeleweki? If she let the man go even the relatives,yan nn wakat kashakukataa kwamba mind your own business,unamwambia mtoto nenda kalale huko. Ntajkocommt only if hamna ukarbu nnao uona sasa.Nshamwambia kama wana ukarbu huo amuombe huyo jamaa amuoe,ila sio mim.

Kweli wee kaka hujampenda huyo dada halafu unanisikitisha. "Eti amuombe huyo kaka amuoe" hayo maneno yanaonyesha unyanyasaji na ukimuoa inaelekea utamnyanyasa sana kisa alizaa bila ndoa
Hujasikia msemo wa ukipenda boga wewe eeh. Wewe unachotaka kufanya ni kumnyima huyo mtoto haki yake ya msingi kabisa kuna mtu asie na ndugu!!
Ata kama baba yake hamtaki kama ndugu wanamtaka na kumtambua we inakukera nini
 
Why? Kwa nini lakini! Si uoe asie na mtoto...dah tunatofautiana mweeee


Sent from Mchina
 
Mueleze tu msimamo wako na jinsi unavochukulia suala zima la yeye kujizoeza na wale kule. Na utoe amko rasmi je mtoto wewe msimamo wako uko vipi, unamlea au utajivua gamba?

Kuna tabia ya baadhi yenu hamtaki mtu ajihusishe na baby dady kwa lolote afu WAGUMU KAMA NYAMA CHOMA KUMUHUDUMIA YULE MTOTO matokea yake mnamuweka mama mtu kati. Ukiombwa ada na matumizi mengine wa kwanza kufungua bakuli lako "SI ANA BABA YAKE?" Afu mwenzio akiwa kwenye harakati za kujikombakomba ili ada itoke kwa urahisi WIVU unakujaaa! ni jambo lisilowezekana mawasiliano yakatike afu huduma iendelee. kama utkava kila kitu sioni kama kutakuwa na issue.

Big up L1. Huu ndio uzalendo!
Lara, Kumbe kichwani zimo ee?
 
Mi kiukweli sikubali mtu na mtoto hapana, hata nikigundua ana mtoto huko nyuma hiyo ndo basi tena kila mtu zake
 
eleza kwanini waliachana.mke huyo anafikiri mini kuhusu ex wake,mama salsa na motto anus Mojave awe waking na Hamas Asiatic Maguire Kaman hamtambui na kumhudumia au mama Saugatuck mote sense kwao na usimtambue Kaman Banque anangangania


Eeeee Eeeeee, naona Mkuu umepoteza network. Sasa mbona hueleweki? AU ulikuwa unacomment gizani? Au una simu mpya sasa burton bado zakusumbua??? Aisee
 
Kwa uzoefu wangu ni kuwa unatakiwa ujue kuwa mwanamke mwenye mtoto hupunguza upendo kwa mwenza hivyo humpenda mwanae kuliko mwenza. na mwanae ni damu ya huyo jamaa mwingine.

Kwa hiyo unaingia katka uhusiano wa tofaut kidogo, unakuhitaji uelewa wa ziada kwa mwanamke na kwa mtoto maana mwanamke muda mwingi utaona kama hakusikilizi anawaza kumchukua mtoto, naye mtoto anaweza kuwa akimlili baba yake sasa unabidi uwe na roho nzito ya upendo.

Mimi nilihamuweka ndani mwanamke wa hivyo miaka ya nyuma, niliinjoy maana life staili niliyokuwa naishi naye ni tofauti kidogo, mimi zangu ilikuwa naenda job nikirudi ni pombe na kupiga mzigo kinoma.nilikuwa kijana mbichi zaidi hivyo ilikuwa nikipiga bia mbili tatu nikiingia geto nikipiga msosi kilichobaki ni kupiga gemu kama masaa manne nalala nakuamka.bajeti ya ndani na watoto ilikuwa namuachia, na tulikuwa jioni siku moja moja namtoa na kupiga show usiku balaa. baba wa wale watoto alirudi kuomba kurudiana mwanamke akakataa kata kata kikubwa nadhani ni ile show nilikuwa natoa.

Sikuwa na ile kupelekana kwa ndugu au kupelekana kwa wakwe maana kule nako kuna fedheha yake, kwenda kwa wazazi wako na mwanamke mwenye mtoto wa mtu mwingine na unaishi na wewe bado kijana below 30 ni fedheha. walau uwe above 45 hapo hamna tabu.

tpmazembeeeeee
 
Hivi kijana mdogo kama wewe huwaoni mabinti wote wanaotoka vyuoni ambao wako fresh?

Hebu tazama kwa mfano huyo mama anaumwa na anahitaji damu na kwa bahati mbaya damu yako wataalam wanasema haimfai halafu anakuja mzazi mwenzake anapimwa damu wataalam wanaihafiki na anatolewa damu ili kumuokoa huyo unayemuona wewe ni mpya je baada ya kupona wewe utajisikiaje?

Na ukumbuke siku ya mtoto wao kuoa au kuolewa wao ndio watakaa high table kama Baba na Mama mzaa chema.

Mnatuchosha kila siku kuomba ushauri wa kijinga wakati mabinti kibao wanahitaji kuolewa.

mwenye mtoto na aolewe na mwanaume mwenye mtoto pia hapo ndio ngoma droo na siyo mvulana mzima na barehe zako unataka used.

mkuu Matola hawako hivyo siku hizi..I mean wakitoka no longer fresh..mule mule tu:A S 13:
 
Last edited by a moderator:
Sioni tatizo endapo mmekaa chini kabla ya yote .....mkakubaliana kimsingi kuwa mtoto utamlea.....hapo hakuna tatizo....mtoto kwenda kwa baba zake it is fine kama ni maeneo yaliyo karibu...ila mahusiano ya mke na kule kwa mume wa zamani hayatakiwi kabisa....ila mapenzi hayana mwalimu...Mwisho was iku angalia wewe unampenda vipi huyo binti....kuwa na mtoto isiwe kikwazo cha yeye kuwa na ampendaye hasa ikizingatiwa she is single now.....kuna mifano mingi katika hili
 
Kama hamtaki kuoa wenye watoto omben msizae watoto wa kike au mkiwaa nao muwape dawa wasibebe mimbaa mapemaa maana hili ni jangaa la taifaa watoto wa kike wengi bado wadogo lakin wana watoto!!!!!!!!
 
eleza kwanini waliachana.mke huyo anafikiri mini kuhusu ex wake,mama salsa na motto anus Mojave awe waking na Hamas Asiatic Maguire Kaman hamtambui na kumhudumia au mama Saugatuck mote sense kwao na usimtambue Kaman Banque anangangania

Kama atashindwa kukuelewa na kufanyia kazi ushauri wako ntamshangaa,,...,.
 
sasa kaka mbona ulieleza mambo nusunusu now umefunguka na am getting the picture. mwambie ukweli kuwa hutaki mtt kulala huko awe anaenda kusalimia tu. na ye pia mwambie awe na haya kama mwanaume alimwambia hivyo anaenda kufanya nn huko si ujinga huo.

Hapo sawa dada,ishu ya kwenda kusalmia haina ubaya,ila kulala,kuhamshia nguo huko ctaki.
 
Back
Top Bottom