Bunchari
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 677
- 841
Kiukweli hi haiko sawa,Sasa mpaka kupata mimba kulikua hakuna upendo????
Kwenda kuona mtu wa hivi Ni matatizo mapenzi hayana ngumi na kupigana miiko na makofi,hakuna hamsha hamsha kabisa
Raha ya mapenz umzabe mtu mtaka jicho livilie damu ananuna week nzima ila wajibu wake anatimiza Kama kawa.
Sasa huyu wa mtoto hata mkizinguana anajiona wahatia.
Hainogiiiiiiiiiiiiiii briiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kwenda kuona mtu wa hivi Ni matatizo mapenzi hayana ngumi na kupigana miiko na makofi,hakuna hamsha hamsha kabisa
Raha ya mapenz umzabe mtu mtaka jicho livilie damu ananuna week nzima ila wajibu wake anatimiza Kama kawa.
Sasa huyu wa mtoto hata mkizinguana anajiona wahatia.
Hainogiiiiiiiiiiiiiii briiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii