Anthony Genge
Member
- Apr 8, 2017
- 20
- 9
Hilo we dondosha
Chagua linginee
Chagua linginee
Mpogoloni kabila gani?
Pogoloni kabila gani?
HahahaaaMpogolo
AhsanteStuka mkuu hakuna mke hapo. Pole sana.
Yani hii statement inatosha kabisa kuchukua maamuzi..Sijui mkuu unataka ushauriwe nn??Akanambia siwez kuwa na mwanaume ambaye hana uwezo wa kunisaidia nikiwa nadharula ya pesa Kama hivi.
Pogolo
Ahsante mkuuMkuu unapoteza muda hapo uyo mwanamke hana Vision wala Mission
Huyo yupo anaendeshwa na matukio hata iyo biashara ulimlazimisha tu
Mindset yake na wewe unavyotaka awe ni maji na mafuta
Fanya maamuzi haraka unapoteza resources zako hapo
Ubarikiwe Sana mkuu kwa ushauri wako maridhawaMkuu pole sana kwa jambo hilo.Kaka huyo si mwanamke wa ndoa.
Ukiachia yote mwanamke wa kuoa akusikilize na awe na hofu na wewe.Umemshauri vitu 3 vyote kapiga chini kwa lugha fupi anakudharau.
Tambua mwanamke anayekusumbua wakati wa uchumba ukimuoa atakutesa.Ukiachia mbali dharau zake huyo mwanamke anaonekana anatamaa na mambo makubwa hakufai kimaendeleo.
Sito kuambia umuache ila jiandae mateso.Kuna kipindi atakuambia uuzee nyumba ununue gari kisa bei ya gari ni rahisi...
.Kaa chini ufikirie maisha yako