Yap nimeona red flag kwake. Wakapime kwanza alaf amchunguze huyo mwanamke coz anaonekana ni mzoef wa mambo flani.mwambie akapime ngoma kwanza. na hao unakuta hana sehemu ya kuishi, na kingine mwanamke hawezi kuwa wa kujiamini kiasi kwamba ana kwambi unakunywa kinywaji cha kike na kingine angekuwa na heshima asinge agiza pombe kwanza, tupa kule
Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza AfrikaHuyo Dada ndo unataka akupatie mimba uliosema unatamani kubeba mimba uvunje rekodi?
Mkatalie, asije kukuharibia ndoto zako za kuwa mwanaume wa kwanza Africa kubeba mimba.Habari za mchana wana MMU, leo nareta bandiko humu ndani kwa ajili ya ushauri. jana mida ya mchana nilitoka nikaenda bar fulani maeneo ya songea nikaagiza pepsi taratibu nikawa nashushia na nyama choma,
baadae kidogo akaingi mwanadada mashallah mtoto si haba uzuri kajaliwa. moja kwa moja hadi nilipo akajongea, 'mambo kaka' nikajibu 'poa' akaniuliza 'hiki kiti kina mtu' hapana, akaketi na kuagiza bia akaanza kuniongeresha mbona unatumia kinywaji cha kike kwann usiagize bia. nikajibu najisikia vibaya ndo maana sikuagiza bia, (kikapita kimya kirefu) nikamwaga minaondo tutaonana akajibu 'samahani kaka naomba ukae kunakitu nataka nikwambie' ikanibidi nitii nikamwambi nakupa dk2 uongee shida yako. akaanz ooh! unajua kaka samahan kama ntakuudhi mimi nimetokea kukupenda naomba uwe wangu please, da! nikajiuliza hivi mwanamke mzuri kama huyu kakosa bwana. nikamwambia dada nipe siku yaleo nikufikilie kesho ntakupa jibu, leo kanipigia anataka tuonane yaani ninamawazo sijui nimkubalie au nikatae.
ushauri wenu wakuu
Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngonoKwahiyo ukishauriwa umkubalie na siku ya kutaka kumkula utakuja kuomba ushauri tena watu wakupe na mastyle ya kumkula
Kwahiyo ni uwoga wake kumbe miaka 9 si mchezo si ameshasahau mpaka papuchi inafananaje
Mh! Hii lugha vipi hii mkuu!?Kwa kunionaje labda
Ha haaa haaaa yani umenifanya nicheke huku hadi watu wananishangaaNdo uandishi gani wa leo ‘nareta’ ‘kuniongeresha’
Tumbafuuuu