mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Wakuu ninahitaji simu yenye uwezo wa kila kitu yani kama computer...yenye uwezo wa kufungua chatroom za java kama vile chatzone nk, yenye kuweza kufungua na kudownload miziki kutoka youtube nk.....ningependa kupata aina za simu na bei tafadhali.