zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,604
Hao wa nyasa watamu Sana,sema uku mjini Ni adimuMi nimeanza kujifunza juzijuzi nikiweka na ndimu za kuzidi nakula
Hao wa nyasa watamu Sana,sema uku mjini Ni adimuMi nimeanza kujifunza juzijuzi nikiweka na ndimu za kuzidi nakula
Yeah,ni wazuri sanaHao wa nyasa watamu Sana,sema uku mjini Ni adimu
Hapo nimekupata sasa,nimeelewa.Mi nimeanza kujifunza juzijuzi nikiweka na ndimu za kuzidi nakula
hahahahahaNa ukame bado upo
Marahaba dogoMuone
Sasa huku ziwani full kutafuna hao dagaa
Utelazi ndiyo maana nilikuwa najishangaa,kumbe
Mjep ShikamooView attachment 2401001
Ahahah Cell za kiume😁😂😂😂😂 au ulimaanisha hormone za kiume?au amekeketwa, au hakupendi au ana seli za kiume
Wasalaaam wandugu, naomba msaada tutani.
Mimi nina mwenza wangu ambaye tumekuwa wote kwa muda sasa na sasa hivi tupo katika hatua za uchumba wa ndoa. Huyu mtu kiukweli twapendana hasa, twajaliana na kuthaminiana sana (namzidi miaka mitano na mimi ni mwanaume wake wa kwanza).
Shida ipo hapa, huyu mtu wangu kiukweli anakauka sana na mara nyingi sana huwa ni kama tunalazimisha kufanya mapenzi. Nimetumia njia nyingi sana kumuandaa, muda mwingi sana lakini tukianza tu unakuta ni mkavu, japokuwa tukiwa tunaendelea kila kitu kinakua sawa na anayamwaga.
Hii hali imekuwa inanikata sana moto, maana mara nyingi mkimaliza kufanya mapenzi basi hawezi tena mpaka zipite siku tatu ama nne ndiyo atakuwa tayari. Japo napo hali inakua ngumu mwanzoni.
Naombeni msaada njia sahihi ya kumuondolea hili tatizo, maana naona kabisa nakua sipo sawa kifikra inapokuja suala la tendo.
Binafsi ni stress inasababishaga hivyo,
Si ataishia kuchakata Dar nzima akitafuta maji mweePenye maji
Mbinga? Nilikula sana LUPAMBU kipindi nipo mbingaNdiyo. Huku nilipo ndiyo kwenyewe![]()
Kwamba dar mzima nyuchi ni kavu?Si ataishia kuchakata Dar nzima akitafuta maji mwee
🤣🤣🤣we mtu wewewe hahahau amekeketwa, au hakupendi au ana homon za kiume
Nawaza tu atakuwa mal$#$ya sasa akianza kusagura saguraKwamba dar mzima nyuchi ni kavu?

