Osaba
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 1,942
- 802
Forester hautaiweza niliagiza kutoka Dubai hadi inaingia nchini ilnighalimu kama 5.7 m hivi lakini niliiuza kwa 4m kutokana na spea kuzingua ilikuwa mpaka nizifate Mombasa ndio kuna wakala wa Subaru
hapo kwenye forester mbona umeguna,tatizo ni bei,spea au unywaji wa fuel?