God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
- Thread starter
-
- #101
ndugu ukisoma kuhusu ajira jiwekee asilimia 1% we jiandae kujiajiri,Vp kwa upande wa IT na forest ajira zake?
Nikweli hawajui,inawezekana kabisa vipaumbele vyao wameona hawatovifikia kulingana na point zao.
Asante kwa masahihisho,ya muache ajaribu ila tu awike second selection.mkuu uko serious kweli au wamanisha veterinary ni dude zaid ya MD?
labda ajaribu anaweza pata ila wasiwasi wangu ni ushindani maana kwa point zake chache sijui kama atapumua maana anaenda kushindana na pcb hapo
sory labda nilichanganya.Mkuu, niombe radhi kwa kunionea. E =1, C =3. Point 4 hizo. Rejea tena post yangu, halafu unipe maoni yako.
sua pagumuAsante kwa masahihisho,ya muache ajaribu ila tu awike second selection.
watanikubalia kwa point hizo? na vp upatkanaji wa ajira ukoje?Vetenary MD Sua.
Mkuu haya niliyaona kipindi namaliza,nilikuwa nataka nisome Petroleum and gas ikakwama,nikataka Mining ikakwama,nikaenda angukia Mechanical.Plan A, B, C zote zimekwama ?
ni bora kuongea ukweli mchungu mkuu kuliko kudanganya ili mambo yake yamnyookee mapema. aweze kujiandaa na mishe nyingine mapemayaan ushauri ume exhaust wote kuhusu huyu mtoto. hakuna nyongeza hapo. yeye atekeleze tu
Weka second selection ila ni course ngumu kuliko MD,ajira 100%, utapata.watanikubalia kwa point hizo? na vp upatkanaji wa ajira ukoje?
Lakini nikijaribu bahati yng sio mbaya? Ukilinganisha na ufaulu wa mwaka huu especially zanzibar watu 101 schule yetu tunaenda 44 pia ukilinganisha na admission ya wanafunzi wanaopokea naweza kujaribu? Na course ipi nyengine ukiacha naweza kupata ukiacha educationNIT hiyo kozi inaushindani sana, yani hapo hadi pcb, pcm, pgb, cbg, egm, hge na kombi zote kavu wanaruhissiwa kuomba na si unajua tena science inapewa kipaumbele. atleast ungekua umesoma hge na una divsin two ningeweza kukushauri omba. ila kweli transpot and logistic huipati kwa kozi yako.
fanya plan b
diploma ya elimu/kilimo/mifugoChem E BIOS E na geo D bam Nina F naomba ushauri nikasomee nn mie nshaurini bas
Duh! ndo tunakatishana tamaa kabsaaa! koz gani nyngne itanfaa na yenye soko kwenye ajira?ndugu ukisoma kuhusu ajira jiwekee asilimia 1% we jiandae kujiajiri,
kama una wakukupa sapot anaweza kukuanganisha na ajira ila hivi hivi ni ngumu,
ila sijui bana maana naamini kila mtu ameandaliwa baraka yake na Mwenyezi Mungu.
unaweza kuwa bwana misitu ila ajira huko siongelei.
ww unaplan gan kwanzaMkuu na mimi mwenye E,D,D toka CBG kozi gani itanifaa?
mi bado sjaelewa vzr tafadharindio inawezekama kabisa.
unaruhusiwa kuomba mara mbili chuo kimoja kwa kozi tofauti
unaruhusiwa kuomba sio chini ya vyuo vitatu kwenye idadi ya vyuo unavyoomba
unaruhusiwa kuomba si chini ya vyuo vitatu au zaidi ya vyuo vitano unavyoomba kwa ujumla.
natumai hapo umeelewa
wala usiwe na shaka jaribu maana naamini kila mtu ana bahati yake. Mungu yupo atakupigania ila kwa uelewa wangu uwezekano wa wewe kupata ni mdogo sana ndo maana nakuandaa mapema ucheki na plani b.Lakini nikijaribu bahati yng sio mbaya? Ukilinganisha na ufaulu wa mwaka huu especially zanzibar watu 101 schule yetu tunaenda 44 pia ukilinganisha na admission ya wanafunzi wanaopokea naweza kujaribu? Na course ipi nyengine ukiacha naweza kupata ukiacha education
Je nikisoma lg nikimaliza nikifaulu vzr namaliza km nani na nafnya kazi sehem gan pia soko lipoje?wala usiwe na shaka jaribu maana naamini kila mtu ana bahati yake. Mungu yupo atakupigania ila kwa uelewa wangu uwezekano wa wewe kupata ni mdogo sana ndo maana nakuandaa mapema ucheki na plani b.
kama unapenda language kuna vyuo kibao vinatoa hiyo kozi. pia ukiomba sheria vyuo ka a saut, udom, tumaini iringa, makumira, theoflo kisanji, ruco huku nina imani kubwa utapata vizuri tuu.
vyuo vya zanzibaree hayee uko sijui sijaangalia ila karibu saba bara.
labda aombe civil engineering saut, halaf st joseph ya dar ila aombe Mungu maana ushindani upi ila sauti sidhan hapo anaweza pata. pia kama anapenda education aende udomJmani naombeni msaada dogo yupo kijijin hata cm anataka aombe chuo lakin kwa matokeo aliopata hajui aombe chuo gani na kozi ipi atakayoweza kusoma, yeye alisoma pcm amepata math C chem E na phy E naomben msaada asije akasoma vitu visivyoeleweka. Ila yeye alitaka lab technical na kozi ambayo inahusu kusindika mazao.
ww unaplan gan kwanza
Baada ya matokeo kutoka kwa kwel cielewi hata niende kozi ipi sababu yametoka nje ya malengo kabsaa! ushauli tafadhal koz gani yenye sokn kwenye ajira itakayonifaa kutokana na ufaulu wangu wa E-Chem, D-georg & bios Dww unaplan gan kwanza
lakin usithbutu kuomba laboratory science and biotechnology(BLS) ya sua. hii ni kwa manufaa yako ya mtaani baada ya chuo. inasumbua kwenye ajira sasaiviMedical labalatory inapatkanga na kwenye vyuo vya serikari? na nieleze kdogo kuhusu IT upatkanaj wake, indadili na nini na soko lake katka ajira!
unakua unafundisha language uliyosoma. pia ukiwa mjanja ukifanya masters fasta unawez kuwa lecture vyuoni na mshaara wake ni mzuri kwa kwel hasa private. ila upige GPA kubwa basi.Je nikisoma lg nikimaliza nikifaulu vzr namaliza km nani na nafnya kazi sehem gan pia soko lipoje?