Ushauri Kuhusu denda/romance

Ushauri Kuhusu denda/romance

We unataka ukimwi sasa! Watahalam wanadai ili uweze kupata ukimwi kwa mate kazima unyonye lita 20 za mate toka kwa aliye athirika!
 
Hiv unaanzaje kula mate ya mwenzako???
Kwa hiyo ww hujawah yala kabisa, sema inawezekana usijue ni wakati gani huwa unayala... Yaan kama ww ni mtu mzima unaweza kuta ukiweka kwenye ndoo ya maji tokea ulipoanza yala hadi mda huu unaweza kukuta inakaribia nusu ndoo...
 
Kwel,
Akili ni nyweke kila mtu anazake
Mawazo yangu yaheshimiwe, hii ni awamu ya hapa kazi tu, sasa haiwezekan kitendo chenyewe hata dakika 15 haziishi, ila unajikuta unapoteza mda mwingi kwenye kunyonyana hivyo vimiminika... Ni bora kurahisisha tu zoezi ili kutopoteza muda wa kufanya mambo mengine
 
sikushangai kwa sababu ni tabia yako kuandika chooni, toka ulipojua kusoma na kuandika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom