Ushauri Kuhusu denda/romance

Ushauri Kuhusu denda/romance

Umenitia kinyaa mkuu
Umuhimu wa french kissing sio hiyo mimate, ni kukutana kwa lips... Inatengeneza hormones fulani na kukufanya ufeel amazing
 
Uzuri kila mtu ana uhuru wa kufanya anachotaka kwa muda wake

Wewe kama utakuwa unachelewa ukidendeka . . .weka katika chupa kabisa
 
romance...si kunyonya mate wewe......ni lips na ulimi...mate yanahusika asilimia ndogo sana
 
Kuwa mstaarabu mkuu, mapenzi gani hayo ya kunywa mate ya mwenzako
Nasikitika sana mnavonipinga kama huwa hamnyonyi madenda kwa wapenzi wenu... Kwani mate na denda si kitu kile kile au ukinyonya yakiwa bado mdomon kwa mwenzio na ukiwekewa sehem nyingine unywe si kitu kile kile kama issue ni kunyonya basi waweza tumia hata mrija yakiwa kwenye kikombe na ukanyonya vile vile
 
Umenitia kinyaa mkuu
Umuhimu wa french kissing sio hiyo mimate, ni kukutana kwa lips... Inatengeneza hormones fulani na kukufanya ufeel amazing
Jaman ulisha wahi nyonywa lakini au kunyonywa yaan pale lazima uvute mate ya mwenzako... Sasa mm nmetoa kama ushauri tu ili kuokoa mda kwann msiyaweke chomboni tu!
 
Eti haka kautaratibu mkiwa mmemisianaa na mpenzi mkikutana mnaanza kunyonyana denda weee tena kwa mda kabla ya kufanya kitu fulani kilicho wafanya mkutane hapo.

Sasa mimi nimepata wazo hivi kwanini lile denda la mpenzi wako asikuwekee tuu kwenye kikombe hata iwe robo au nusu ili ulinywe lote mara moja tu ili kuokoa mda kwa sababu kuna mda unaweza chelewa masuala ya muhimu kwa sababu ya kulinyonya tu hilo denda kwa mwenzio.

Na kama kunyonyana denda ndo ishara ya kupendana basi likiwekwa kwenye kikombe nahisi ndo yatakuwa mapenzi ya kweli.
=============

Kalenga kidamali
Hii post naweza nika iita ngumu kumeza kwa sabab watu tunakimbia kivuli chetu yaan tunajua tunafanya ila kukubali kuwa ikifanyika kwa njia nyingine ambapo content inabak ile kwa maana mate ni yale yale watu hamtakk kukubali...
 
Jaman ulisha wahi nyonywa lakini au kunyonywa yaan pale lazima uvute mate ya mwenzako... Sasa mm nmetoa kama ushauri tu ili kuokoa mda kwann msiyaweke chomboni tu!
Hujalazi!ishwa kufanya hivyo... Kama wewe mshamba na kuona ni bugudha acha basi ...
 
Nasikitika sana mnavonipinga kama huwa hamnyonyi madenda kwa wapenzi wenu... Kwani mate na denda si kitu kile kile au ukinyonya yakiwa bado mdomon kwa mwenzio na ukiwekewa sehem nyingine unywe si kitu kile kile kama issue ni kunyonya basi waweza tumia hata mrija yakiwa kwenye kikombe na ukanyonya vile vile
Naona unapenda sana...kanunue SIMTANK kabisa
 
Duh! Kweli Mapenzi Uchafu, Wewe Kunywa hayo mate kadri ya uwezo wako!
 
Eti haka kautaratibu mkiwa mmemisianaa na mpenzi mkikutana mnaanza kunyonyana denda weee tena kwa mda kabla ya kufanya kitu fulani kilicho wafanya mkutane hapo.

Sasa mimi nimepata wazo hivi kwanini lile denda la mpenzi wako asikuwekee tuu kwenye kikombe hata iwe robo au nusu ili ulinywe lote mara moja tu ili kuokoa mda kwa sababu kuna mda unaweza chelewa masuala ya muhimu kwa sababu ya kulinyonya tu hilo denda kwa mwenzio.

Na kama kunyonyana denda ndo ishara ya kupendana basi likiwekwa kwenye kikombe nahisi ndo yatakuwa mapenzi ya kweli.
=============

Kalenga kidamali
Akili za usiku
 
Eti haka kautaratibu mkiwa mmemisianaa na mpenzi mkikutana mnaanza kunyonyana denda weee tena kwa mda kabla ya kufanya kitu fulani kilicho wafanya mkutane hapo.

Sasa mimi nimepata wazo hivi kwanini lile denda la mpenzi wako asikuwekee tuu kwenye kikombe hata iwe robo au nusu ili ulinywe lote mara moja tu ili kuokoa mda kwa sababu kuna mda unaweza chelewa masuala ya muhimu kwa sababu ya kulinyonya tu hilo denda kwa mwenzio.

Na kama kunyonyana denda ndo ishara ya kupendana basi likiwekwa kwenye kikombe nahisi ndo yatakuwa mapenzi ya kweli.
=============

Kalenga kidamali
Utakuwa umelogwa wewe si bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom