Ushauri Kuhusu denda/romance

kALEnga kidamali

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
542
735
Eti haka kautaratibu mkiwa mmemisianaa na mpenzi mkikutana mnaanza kunyonyana denda weee tena kwa mda kabla ya kufanya kitu fulani kilicho wafanya mkutane hapo.

Sasa mimi nimepata wazo hivi kwanini lile denda la mpenzi wako asikuwekee tuu kwenye kikombe hata iwe robo au nusu ili ulinywe lote mara moja tu ili kuokoa mda kwa sababu kuna mda unaweza chelewa masuala ya muhimu kwa sababu ya kulinyonya tu hilo denda kwa mwenzio.

Na kama kunyonyana denda ndo ishara ya kupendana basi likiwekwa kwenye kikombe nahisi ndo yatakuwa mapenzi ya kweli.
=============

Kalenga kidamali
 
Eti haka kautaratibu mkiwa mmemisianaa na mpenzi mkikutana mnaanza kunyonyana denda weee tena kwa mda kabla ya kufanya kitu fulani kilicho wafanya mkutane hapo.

Sasa mimi nimepata wazo hivi kwanini lile denda la mpenzi wako asikuwekee tuu kwenye kikombe hata iwe robo au nusu ili ulinywe lote mara moja tu ili kuokoa mda kwa sababu kuna mda unaweza chelewa masuala ya muhimu kwa sababu ya kulinyonya tu hilo denda kwa mwenzio.

Na kama kunyonyana denda ndo ishara ya kupendana basi likiwekwa kwenye kikombe nahisi ndo yatakuwa mapenzi ya kweli.
=============

Kalenga kidamali
Unato.
Mbwa.
Wewe!
 
Eti haka kautaratibu mkiwa mmemisianaa na mpenzi mkikutana mnaanza kunyonyana denda weee tena kwa mda kabla ya kufanya kitu fulani kilicho wafanya mkutane hapo.

Sasa mimi nimepata wazo hivi kwanini lile denda la mpenzi wako asikuwekee tuu kwenye kikombe hata iwe robo au nusu ili ulinywe lote mara moja tu ili kuokoa mda kwa sababu kuna mda unaweza chelewa masuala ya muhimu kwa sababu ya kulinyonya tu hilo denda kwa mwenzio.

Na kama kunyonyana denda ndo ishara ya kupendana basi likiwekwa kwenye kikombe nahisi ndo yatakuwa mapenzi ya kweli.
=============

Kalenga kidamali
Wasalimie na Nzihi na wale wa Mangalali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom