madam akii
New Member
- Sep 13, 2015
- 1
- 0
Natumaini muwazima wa afya humu ndani, naomba anae jua biashara hii ya magari haya, anieleweshe inaendaje? Nataka nikope benk, ninunue kama vi 3, je zina faida?
Natumaini muwazima wa afya humu ndani, naomba anae jua biashara hii ya magari haya, anieleweshe inaendaje? Nataka nikope benk, ninunue kama vi 3, je zina faida?
Ukikopa njoo nikuuzie hii ya kwangu bado mpyaNatumaini muwazima wa afya humu ndani, naomba anae jua biashara hii ya magari haya, anieleweshe inaendaje? Nataka nikope benk, ninunue kama vi 3, je zina faida?