cha msingi kutafuta secretary ambae atakukusanyia mapato ✅✅✅Natumaini muwazima sana wa afya na poleni na majukumu ya kila siku
Nilikuwa naomba ushauri kuhusu biashara ya car wash
Sijawai kuifanya naombeni muongoza niweze kuindesha.ndugu zangu maana nimepata Boss amenikabizi ofisi maeneo ya chanika njia ya mbagara