Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

ndio mkuu nahitaji ushauri nimeandaa kama mil.2 hv[/quote Mtaji wa 2m kwa BIASHARA ya vinywaji mchanganyiko unaweza tosha kama eneo ulipo vyumba vya biashara si aghali na hawana masharti ya kodi ya miezi 6 au 12. Usiji limit kwa reja reja, wauzaji wakuu wa vinwaji hutoa bidhaa na malipo baada ya siku kadhaa.
 
Ni wazo zuri sana
Moja. Angalia location
Mbili. Angalia ni vinywaji gani vinapendelewa sana.
Tatu. Lazima uwe na friji aina ile ambayo inakuweza kuingiza ninywaji ama chupa nyingi. Ziko kama freezer.
Muuzaji awe na kauli nzuri kwa wateja.
Milion mbili na kodi ya frame?
Habarini za mchana jamani nilikuwa naombeni ushauri nahitaji kufungua biashara ya duka la vinywaji mtaji nimetenga km sh. mil.2 ambavyo itakuwa ni kwareja reja. nilikuwa nataka kwa anaefanya biashara hyo nijue kiasi cha mtaji na maeneo ambapo unaweza kufanya biashara hyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya wakati huu wana JF,

namshukuru Mungu kwa uzima na afya. Najipanga kuanzisha biashara ya vinywaji (vikali na lain) vya Jumla na rejareja, kwasasa bado nipo ktk hatua ya utafiti wa soko na location.

Naomba ABCs (taarifa muhimu) mchanganuo wa biashara hii kwa wenye ujuzi na uzoefu juu ya biashara hii. Natanguliza shukran zangu kwenu.

Asante
 
Umeandaa mtaji kiasi gani?
Habari ya wakati huu wana JF, namshukuru Mungu kwa uzima na afya. Najipanga kuanzisha biashara ya vinywaji (vikali na lain) vya Jumla na rejareja, kwasasa bado nipo ktk hatua ya utafiti wa soko na location. Naomba ABCs (taarifa muhimu) mchanganuo wa biashara hii kwa wenye ujuzi na uzoefu juu ya biashara hii. Natanguliza shukran zangu kwenu.

Asante
 
Mutaji mzuri anza na 10m,vinywaji vingi chukulia tunduma hasa hivi vikali na wine chukua dodoma,ni biashara nzuri sana ijapo inachangamoto za kawaida.
 
Tatizo hayo maeneo mnataka makodi makubwa biashara yenyewe kwa sasa hakuna, Fanya wewe uone kama utaweza kujilipa 250000 kwa mwezi kama kodi unayotaka!
 
Habari wadau! Natafuta mmbia wa kufanya nae biashara ya grocery pande ya Sinza A, sehemu ni yangu binafsi na eneo si barabarani ila ndani kidogo. Mchango wa mbia awe na fridge na freezer, mtaji wa vinywaji au vinywaji vinavyohitajika, viti na meza chache za kukalia, kufuatilia vibali vya kufanya biashara hiyo, awe na uwezo wa kuchangia gharama za msingi kama umeme, maji , taka n.k. Silengi kitu kikubwa sana, ila ikikua ni kheri zaidi. Natanguliza shukrani
Sasa huo ni ubia au usoda?
 
Habari wadau! Natafuta mmbia wa kufanya nae biashara ya grocery pande ya Sinza A, sehemu ni yangu binafsi na eneo si barabarani ila ndani kidogo. Mchango wa mbia awe na fridge na freezer, mtaji wa vinywaji au vinywaji vinavyohitajika, viti na meza chache za kukalia, kufuatilia vibali vya kufanya biashara hiyo, awe na uwezo wa kuchangia gharama za msingi kama umeme, maji , taka n.k. Silengi kitu kikubwa sana, ila ikikua ni kheri zaidi. Natanguliza shukrani
Sasa huo ni ubia au usoda? Maana kwa hzo gharama mdau atakua amechangia 98% ya gharama.
 
mkuu u jirani na mleta mada, maana hakuna katika posts zake alikotaja 250,000
Tena tunaweza ambiwa laki Tatu, unafikiri anavyosema hence na Vitu pamoja na mtaji anamaanisha nini! Ni kwamba yeye anachangia pango INA mana yeye atapiga hesabu kuwa yeye kapangisha alafu wewe uweke mtaji!
 
Habari wadau! Natafuta mmbia wa kufanya nae biashara ya grocery pande ya Sinza A, sehemu ni yangu binafsi na eneo si barabarani ila ndani kidogo. Mchango wa mbia awe na fridge na freezer, mtaji wa vinywaji au vinywaji vinavyohitajika, viti na meza chache za kukalia, kufuatilia vibali vya kufanya biashara hiyo, awe na uwezo wa kuchangia gharama za msingi kama umeme, maji , taka n.k. Silengi kitu kikubwa sana, ila ikikua ni kheri zaidi. Natanguliza shukrani
yaani huyo mtu si bora akatafute fremu afungue mwenyewe
 
Huyu jamaa kama ndio mwenye nyumba, ndio maana wapangaji wameshindwa kulipa kodi.Ni dhulumati.
 
Mimi nilijua 50/50 ili nichangamkie fursa kumbe ni mtu aliyekosa mpangaji
 
Back
Top Bottom