Jay10
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 711
- 533
Insightful.....naomba tuwasiliane Pm bwn LYNCHKuna sehem moja Mbili tatu zitakusaidia.
Ya kwanza ni pale manzese tip top kwenye maduka ya liquor store Especially pale depot ya mrina wako na bei reasonable sana,
Ya pili Ni kitumbini ukiulizia tu kule kuna maduka ya wahind pale ni maarufu sana kwa kuuza Wine,Shampen
mwisho ni k.koo mtaa wa mkunguni.
Hii biashara Nimefanya sana nilipomaliza chuo na imeniweka sana mtaani na kunipa uzoefu wa kutosha.Best of lucky Jamaa