Shukran sana mkuu.Leseni ya biashara achana nayo kwanza lipia fremu nunua vitu vinavyotoka sana kwenye eneo lako anza kazi.
Pesa zako za faida utakazopata za kwanza kabisa ndio uende huko TRA ukiwafata kabla wanakuulia mtaji hawana maana
Mtaani hakufai mkuu wangu, nimezunguka na vyeti mpk kichwa kinawaka moto, sasa nimeamua kuchukua akiba yangu nijilipueLeseni ya biashara achana nayo kwanza lipia fremu nunua vitu vinavyotoka sana kwenye eneo lako anza kazi.
Pesa zako za faida utakazopata za kwanza kabisa ndio uende huko TRA ukiwafata kabla wanakuulia mtaji hawana maana
Unauamuzi wa akili mingi mno hongera sana, TRA waliwahi kwenda kwenye duka la wazazi wangu wakafanya mahesabu yao wakamkadiria milioni 3 anauwezo wa kuiingiza kwa mwezi kutokana na ukubwa na mazingira lililopo hivyo kodi yake ilikua yakutisha.Mtaani hakufai mkuu wangu, nimezunguka na vyeti mpk kichwa kinawaka moto, sasa nimeamua kuchukua akiba yangu nijilipue
Bidhaa za duka mkuu mtaji bado mdgo, ni milion mbili na nusu tu, ndio maana nataka nianze na vinywaji baridi ili kuukuza huku mfumo ukibadiklika taratibu.Tafuta fremu,weka miundo mbinu yako,weka bidhaa,nenda TRA kwa ajili ya TIN & kodi,tafuta leseni,fungua duka,na anza kula matunda ya nchi
Umeeleweka mkuuBidhaa za duka mkuu mtaji bado mdgo, ni milion mbili na nusu tu, ndio maana nataka nianze na vinywaji baridi ili kuukuza huku mfumo ukibadiklika taratibu
We mpambanaji sana mkuuumeeleweka mkuu
Post nyingi za ujasiriamali lazima nikukute, big up.umeeleweka mkuu
Kawaida tu mkuuWe mpambanaji sana mkuu
ha ha ha ha ujasiriamali ndio utajiri ulipo;changamoto zake mwanzo huwa ni mgumuPost nyingi za ujasiriamali lazima nikukute, big up.
Kwel mkuu, hii imekuwa ni changamoto moja wapoKuna haja ya masomo ya business and entrepreneurship kuanza kufundishwa kuanzia secondary na kuendelea, ili kuondoa sintofahamu pindi mtu anapotaka kuanzisha biashara technics know how. Sio anamaliza chuo kikuu hajui hata procedures ya namna gani ya kuanzisha biashara kulingana na sheria za nchi yake aliyopo!.
Kumbe ulikuwa unaomba!
Sent by Diaspora