Ushauri kuanzisha huduma ya kiroho

Ushauri kuanzisha huduma ya kiroho

Marwa_J_Merengo

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
4,511
Reaction score
6,888
wakubwa,nimetafakari kuanzisha huduma ya kiroho kama ile ya mwammposa ya kuondoa matatizo ya watu kupitia ukanyagaji na upakaji wa mafuta lakini sijui nianzie wapi

Kwahiyo kwa mwenye uelewa kuhusu hizi huduma tafadhari nijulishe natakiwa nifanye nini ili na mimi huduma yangu ifanikiwe

Na labda niwe muwazi kabisa kuwa sikusudii kuanzisha hii huduma kwa lengo la kupata utajiri bali kwa nia safi kabisa ya kuwasaidia watu wenye matatizo hasa ya kiuchumi na kimahusiano ambao wanaonekana wako radhi hata kukanyagana ili wayapate mafuta ya kuwaondolea shida zao
 
wakubwa,nimetafakari kuanzisha huduma ya kiroho kama ile ya mwammposa ya kuondoa matatizo ya watu kupitia ukanyagaji na upakaji wa mafuta lakini sijui nianzie wapi

Kwahiyo kwa mwenye uelewa kuhusu hizi huduma tafadhari nijulishe natakiwa nifanye nini ili na mimi huduma yangu ifanikiwe

Na labda niwe muwazi kabisa kuwa sikusudii kuanzisha hii huduma kwa lengo la kupata utajiri bali kwa nia safi kabisa ya kuwasaidia watu wenye matatizo hasa ya kiuchumi na kimahusiano ambao wanaonekana wako radhi hata kukanyagana ili wayapate mafuta ya kuwaondolea shida zao
Kama unao wito wa kweli kutoka kwa Mungu utashauriwa na Mungu mwenyewe kupitia Roho Mtakatifu na sio wanadamu. Kifupi tu ni kwamba unataka kujitafutia riziki yako kupitia shida za watu.

Na kweli unavutiwa na Mwamposa hata baada ya yaliyotokea chini ya “huduma” yake?
 
Kama unao wito wa kweli kutoka kwa Mungu utashauriwa na Mungu mwenyewe kupitia Roho Mtakatifu na sio wanadamu. Kifupi tu ni kwamba unataka kujitafutia riziki yako kupitia shida za watu.

Na kweli unavutiwa na Mwamposa hata baada ya yaliyotokea chini ya “huduma” yake?
Ni kweli mkuu sina wito kabisa wa kuwa mchungaji lakini nimesikitika sana kuona watu ishirini wakifa kwa mkupuo eti kisa kuwaiana kukanyaga mafuta
 
Ni rahisi sana , nenda Nigeria kanunue Pete ya mvuto kwanza

Ukirudi hata mwamposa atakuonea wivu

Ila ukumbuke kuweka urafiki na kina bashite

Pia uwe ni mtu wa kuisifu serikali hasa ma Air Tanzania, SGR, elimu bure


Huduma yako watailinda
 
Back
Top Bottom