Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,529
- 2,969
Salaam Wana JF,
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza hapo juu,baada ya mapambano makali ya kujinasua kiuchumi,hatimaye nimepanga kufika mjini Dar es Salaam hususani maeneo ya Kariakoo kwa ajili ya Uchunguzi wa biashara mbali mbali.
Lengo haswa la Uchunguzi huu ni kujua bei mbali mbali za bidhaa tofauti lkn pia kugundua fursa mpya ambazo zitajitokeza.
Ushauri itajika kutoka kwenu;
1.Malazi;Yawe ni karibu na Eneo husika lkn pia kwa bei ya wajasiriamali.
2.Muda;Ni mda gani recommended kufanya tour km hiyo??
3.Chocho;nianzie wapi na nimalizie na wapi?
4.Mazingatio;Ni nini haswa cha kuzingatia nikiwa kwenye tour km hiyo na haswa Mjini Dar as Salaam?
5.Mengineo; uzoefu kutoka kwenu wana jamvi.
Asanteni.
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza hapo juu,baada ya mapambano makali ya kujinasua kiuchumi,hatimaye nimepanga kufika mjini Dar es Salaam hususani maeneo ya Kariakoo kwa ajili ya Uchunguzi wa biashara mbali mbali.
Lengo haswa la Uchunguzi huu ni kujua bei mbali mbali za bidhaa tofauti lkn pia kugundua fursa mpya ambazo zitajitokeza.
Ushauri itajika kutoka kwenu;
1.Malazi;Yawe ni karibu na Eneo husika lkn pia kwa bei ya wajasiriamali.
2.Muda;Ni mda gani recommended kufanya tour km hiyo??
3.Chocho;nianzie wapi na nimalizie na wapi?
4.Mazingatio;Ni nini haswa cha kuzingatia nikiwa kwenye tour km hiyo na haswa Mjini Dar as Salaam?
5.Mengineo; uzoefu kutoka kwenu wana jamvi.
Asanteni.