Ushauri: kama bado unampenda mtu, usitangaze kumuacha!

Ushauri: kama bado unampenda mtu, usitangaze kumuacha!

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,276
Huyu dada alikuwa mpenzi wangu alinikosea yeye, na amekuwa akinidanganya mara nyingi tu.

...leo hii kaamua kunitafuta wakati licha ya kunikosea yeye ndio alitangaza kuniacha!

sasa na mm sahizi nimepata nesi wangu, najilia vyangu!

NB: Maisha ni kutumia akili, akili yako ndio maisha yako!
IMG_20190414_152059.jpeg
IMG_20190414_153414.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ndezi mmoja nae ana style hizo, nishapiga chini ila sasa anang'ang'aniamo balaa.

Nampaga dry tu..mara aage "Sitokutumia tena meseji tena maana nimekuwa kero kwako", "nakutakia maisha mema", "goodluck" ,"delete namba yangu" yani tafrani. Mi najibugi "sawa!" short and clear..utashangaa baada ya siku 2 limeanza kuniuliza tena "mbona upo kimya?", "naomba nijue msimamo wako juu ya hii relationship" na maswali ya design hio yani dah.

Sijawahi kujiskia kero kama kipindi hiki, kama mtu akiwa hakupendi ndio anajiskia hivi dhidi yako basi tujifunze kuheshimu hisia za watu jamani!
 
Kuna ndezi mmoja nae ana style hizo, nishapiga chini ila sasa anang'ang'aniamo balaa.

Nampaga dry tu..mara aage "Sitokutumia tena meseji tena maana nimekuwa kero kwako", "nakutakia maisha mema", "goodluck" ,"delete namba yangu" yani tafrani. Mi najibugi "sawa!" short and clear..utashangaa baada ya siku 2 limeanza kuniuliza tena "mbona upo kimya?", "naomba nijue msimamo wako juu ya hii relationship" na maswali ya design hio yani dah.

Sijawahi kujiskia kero kama kipindi hiki, kama mtu akiwa hakupendi ndio anajiskia hivi dhidi yako basi tujifunze kuheshimu hisia za watu jamani!
Kumbe kila mtu ana mtu wa Aina hii kwenye Simu yakee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom