Ushauri: Kaka angu anateseka.

Mwambia aache ujinga. Yaani atume nauli ili watu waje kumdunda. Hata kama anampenda mkewe. Lazima asimame kama mwanaume.
Mwanaume halisi hawez ruhusu mke akampandia kichwan namna hiyo.

Next amwambie huyo kama vip asepe. Asimletee jam kwenye maisha.
Wanawake wa kipare.. wanamatatizo sana (sio wote)

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani hawa wanawake wa kaskazini wana shida gani mara wanaua waume zao, mara wanatuma nauli waje kumpiga shemeji wapare mungu anawaona alafu tabia ya kuwalisha makande waume zenu muache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu sidhani kama ana ndugu mwenye shida. Angekuwa nae asinge andika kiujinga hivi.
Sasa sijuii anataka ushauri kihuni kama alivyo andika kihuni?
Machalii wa humu Eroo Suphai, Ma mamiloo Takwenyaa,,

Okay ngoja nichumpe mokomoko kwenye point, Nna kaka angu nnaemfata kabisa yeye ni wa pili kutoka mwisho kuzaliwa uku mimi nikiwa ndo wa mwisho....

Huyu broo ana mke ambae kamuoa mwaka jana tu apa mwezi kama wa9 ivi... Mkewe ni mpare wa Same Kilimanjaro, Sasa wengeree ni pale wanakwazana na kuzinguana, Mke wake huwa anamshurutisha broo ampe moneygram ya usafiri wa kaka zake watatu ambao wapo Same Kilimanjaro na kuja Arusha Kumdunda Brother,,

Wakishampa kifinyo brother wanamuomba tena moneygram ya nauli kurudi Same..Bro alikua anaomba ushauri wenu wadau au ahame Chuga tu kuepuka usumbufu?? #Wanaume tunapungua kwa kasi ya Supersonic Duniani.

@ChaliiYaKijengeJuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ujinga mwanamke kupiga sim kwao nduguze waje mpuga mumewe si akili za kawaida ni ujinga halaf mume naye baada ya kupigwa anatoa nauli mashemeji warudi hahahahahahhaha nahisi hii habari haina ukweli
ILi kuepuka muendelezo wa kipigo inabidi tu atoe nauli waondoke
 
Ok sawa..
ni hiviii..
Mkewe anamuombaga
Hela ya nauli
anawatumia
kaka zake
watatu waje
kumpiga
bro..wakishapiga
wanaomba tena
nauli ya kurudia
kwao
Kumbe unajua kuandika vizuri,uwe unaandika kama hivi ukitaka wengi waweze kukuelewa.
 
Machalii wa humu Eroo Suphai, Ma mamiloo Takwenyaa,,

Okay ngoja nichumpe mokomoko kwenye point, Nna kaka angu nnaemfata kabisa yeye ni wa pili kutoka mwisho kuzaliwa uku mimi nikiwa ndo wa mwisho....

Huyu broo ana mke ambae kamuoa mwaka jana tu apa mwezi kama wa9 ivi... Mkewe ni mpare wa Same Kilimanjaro, Sasa wengeree ni pale wanakwazana na kuzinguana, Mke wake huwa anamshurutisha broo ampe moneygram ya usafiri wa kaka zake watatu ambao wapo Same Kilimanjaro na kuja Arusha Kumdunda Brother,,

Wakishampa kifinyo brother wanamuomba tena moneygram ya nauli kurudi Same..Bro alikua anaomba ushauri wenu wadau au ahame Chuga tu kuepuka usumbufu?? #Wanaume tunapungua kwa kasi ya Supersonic Duniani.

@ChaliiYaKijengeJuu
Ni wewe mkuu, kumbe unapigwaga na shemeji zako, aisee jifue hata karate
 
Ndugu, sisi sio wavuta gundi wenzio,andika maelezo yako vizuri,sio kila mtu ni wa Chuga hapa
 
Machalii wa humu Eroo Suphai, Ma mamiloo Takwenyaa,,

Okay ngoja nichumpe mokomoko kwenye point, Nna kaka angu nnaemfata kabisa yeye ni wa pili kutoka mwisho kuzaliwa uku mimi nikiwa ndo wa mwisho....

Huyu broo ana mke ambae kamuoa mwaka jana tu apa mwezi kama wa9 ivi... Mkewe ni mpare wa Same Kilimanjaro, Sasa wengeree ni pale wanakwazana na kuzinguana, Mke wake huwa anamshurutisha broo ampe moneygram ya usafiri wa kaka zake watatu ambao wapo Same Kilimanjaro na kuja Arusha Kumdunda Brother,,

Wakishampa kifinyo brother wanamuomba tena moneygram ya nauli kurudi Same..Bro alikua anaomba ushauri wenu wadau au ahame Chuga tu kuepuka usumbufu?? #Wanaume tunapungua kwa kasi ya Supersonic Duniani.

@ChaliiYaKijengeJuu

Moneygram ya nauli? daah aisee hii ni "madha tongyu" kabisaaa. Huyo kaka yako achague mwenyewe, kuendelea kupigwa au kuachana na huyo mwanamke, ipo siku atatoa "moneygram ya nauli" ya kuja kuuliwa kabisa.
 
Back
Top Bottom