princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
- Thread starter
- #21
Shairi tena??s
a
s
a
j
o
m
b
a
a
m
b
o
n
a
u
n
a
a
n
d
i
k
a
m
a
s
h
a
h
i
r
i
???
kivip mkuu??
Shairi tena??s
a
s
a
j
o
m
b
a
a
m
b
o
n
a
u
n
a
a
n
d
i
k
a
m
a
s
h
a
h
i
r
i
???
Chai hii ina pili piliinawasha kweli kweli...!!Huu ni ujinga mwanamke kupiga sim kwao nduguze waje mpuga mumewe si akili za kawaida ni ujinga halaf mume naye baada ya kupigwa anatoa nauli mashemeji warudi hahahahahahhaha nahisi hii habari haina ukweli
nipe no za kaka yako nimshaur ki2Kabisa Sister..
Bora apige chini.
Rudia kusomaMe kuanzia mwanzo nimekuelew vzr sana ila ulipofka hapa ase umeniacha kwenye mataa kabisa "huwa anamshurutisha
broo ampe moneygram
ya usafiri wa kaka
zake watatu na mke
wa bro ambao
wapo Same Kilimanjaro
na kuja Arusha Kumdunda
Brother,,"
LABDA WENGINE MMEELEWA!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aikatai aikatox
ama nipe no. za huyo Shem wako ili asiwe anawasumbua kaka zake watatu kuja kumpiga kaka yako mmoja, me peke angu naweza mpiga kaka yako mpaka bas.Aikatai aikatox
nimesoma x50 pasipo kuelew hata mara1Rudia kusoma
chaliangu..
nimeiweka
vizuri.
Sisi tukokama bro anaweza atemane naye..! Na nyie mnakua wapi mnaona kaka yenu anaitiwa mashemeji wanamdunda, then nyie mnacheka tu..!
Baridi barafu
Kiruuu..Ebuama nipe no. za huyo Shem wako ili asiwe anawasumbua kaka zake watatu kuja kumpiga kaka yako mmoja, me peke angu naweza mpiga kaka yako mpaka bas.
Sent using Jamii Forums mobile app
waiteni mashemeji tena Arusha.. wakifika... muwatengeneza vizuri...Sisi tuko
uku Kijenge juu,,
yeye yupo
Sakina,,
alaf istoshe
tulikua hatujui
ndo kaamua
kumuelezea
Bi-Mkubwa
jana..
Machalii
wa humu
Eroo Suphai,,
Ma mamiloo
Takwenyaa,,
Okay ngoja
nichumpe
mokomoko
kwenye point,
Nna kaka angu
nnaemfata kabisa
yeye ni wa pili
kutoka mwisho
kuzaliwa uku
mimi
nikiwa ndo wa
mwisho....
Huyu broo
ana mke
ambae kamuoa
mwaka jana
tu apa
mwezi kama
wa9 ivi...
Mkewe ni
mpare wa
Same Kilimanjaro,
Sasa wengeree ni
pale wanakwazana
na kuzinguana,
Mke wake
huwa anamshurutisha
broo ampe moneygram
ya usafiri wa kaka
zake watatu
ambao
wapo Same Kilimanjaro
na kuja Arusha Kumdunda
Brother,,
Wakishampa
kifinyo brother
wanamuomba
tena moneygram
ya nauli kurudi
Same..Bro
alikua anaomba
ushauri wenu
wadau au
ahame Chuga
tu kuepuka
usumbufu??
#Wanaume
tunapungua
kwa kasi ya
Supersonic
Duniani.
@ChaliiYaKijengeJuu
nampunguzia gharama kaka yako ya kutoa mihela kibao ya nauli kwa watu watatu, wakati me mmoja nipo, tumpunguzie gharama ziczo za razma!!Kiruuu..Ebu
achaga Njaro na
wengeree
ariff,,
yaani uje
tena umdunde
Bro?!Like 4 Real???