Ushauri juu ya E-book readers

Ushauri juu ya E-book readers

Brooklyn

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2009
Posts
1,459
Reaction score
286
Wakuu naombeni msaada!

Nataka kununua E-book reader, nimezunguka maduka kadhaa hapa Dar lakini nimekosa. Option niliyonayo sasa ni kuagiza. Kwa wazoefu wa E-book readers, je ni ipi katika ya zilizopo sokoni kwa sasa ambayo ni nzuri na bei zake. Ningependelea ambayo ni touch screen, portable, memory kubwa na yenye uwezo wa kutunza power kwa muda mrefu.

Nawasilisha!
 
Mimi natumia Amazon Kindle 3G ambayo unaweza kudownload vitabu kupitia wifi au kutumia internet ya 3G ambayo ni bure. Vilevile unaweza kudownload pia e books kupitia computer yako kwa kutumia usb.
 
Wakuu naombeni msaada!

Nataka kununua E-book reader, nimezunguka maduka kadhaa hapa Dar lakini nimekosa. Option niliyonayo sasa ni kuagiza. Kwa wazoefu wa E-book readers, je ni ipi katika ya zilizopo sokoni kwa sasa ambayo ni nzuri na bei zake. Ningependelea ambayo ni touch screen, portable, memory kubwa na yenye uwezo wa kutunza power kwa muda mrefu.

Nawasilisha!

check hiyo link, ni wewe tu

http://ebook-reader-review.toptenreviews.com/

http://tablets-review.toptenreviews.com
 
Thanks wakuu, je maduka gani hapa Dar zinapatikana?
 
Thanks wakuu, je maduka gani hapa Dar zinapatikana?
 
Kwa nini ununue E book reader, mimi ningekushauri ununue Tablet badala ya E book kama budget inaruhusu, kwa sababu E Book ina mambo machache ukiachilia kusoma vitabu wakati tablet utasoma vitabu na kufanya mambo mengi, utakachokikosa ni kimoja tu ambacho ni teknolojia inayotumika kwenye screen za ebook, kwamba haina mwanga (back light) basi. Ambacho mimi sioni kama ni muhimu sana. Fikiria sana uamuzi wako, la ikiwa unataka kusoma vitabu tu na mengine si muhimu kwako basi endelea, kura yangu ni Kindle
 
Back
Top Bottom