Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,377
Wakuu salama hapa?
Kuna rafiki yangu alinitafuta akihitaji ushauri na kujua taratibu za kufuata ili aweze kudai na kurejeshewa fedha zake na mali zingine alizotoa kama kishika uchumba kwa mpenzi wake ambaye walipanga wawe mke na mume.
Baada ya jamaa kutoa kiasi fulani cha fedha na mali zingine kwa mama wa mwanamke kama kishika uchumba, jamaa aliondoka eneo ambalo alikuwa anaishi kwenda kutafuta hela sehemu nyingine ili mwisho wa siku aje amchukue yule mpenzi wake wakaishi pamoja huku taratibu za mahari na ndoa zikifanyika.
Ila baada ya muda kapata taarifa yule mama mkwe wake kachukua fedha za mwanaume mwingine na kumwozesha yule binti wakati anajua kabisa kapokea fedha za rafiki angu.
Je, utararibu upoje ili jamaa arudishiwe tu fedha yake, maana haiwezekani aache iliwe hivi hivi kwa tamaa za mama na mwanae.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Kuna rafiki yangu alinitafuta akihitaji ushauri na kujua taratibu za kufuata ili aweze kudai na kurejeshewa fedha zake na mali zingine alizotoa kama kishika uchumba kwa mpenzi wake ambaye walipanga wawe mke na mume.
Baada ya jamaa kutoa kiasi fulani cha fedha na mali zingine kwa mama wa mwanamke kama kishika uchumba, jamaa aliondoka eneo ambalo alikuwa anaishi kwenda kutafuta hela sehemu nyingine ili mwisho wa siku aje amchukue yule mpenzi wake wakaishi pamoja huku taratibu za mahari na ndoa zikifanyika.
Ila baada ya muda kapata taarifa yule mama mkwe wake kachukua fedha za mwanaume mwingine na kumwozesha yule binti wakati anajua kabisa kapokea fedha za rafiki angu.
Je, utararibu upoje ili jamaa arudishiwe tu fedha yake, maana haiwezekani aache iliwe hivi hivi kwa tamaa za mama na mwanae.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app