Sahihi kabisa, hakuna mtu asyependa kuwa appreciated, yani unafanya mambo lakini hakuna anayekukubali, kwa asili wote tunapenda kukubalika na kupendwa.Kisaikolojia tabia itakomazwa na positive award na itaharibiwa na negative award.
Like ni positive award.
Dislike ni negative award.
Tabia inayokomazwa hapa ni ya mtu kurudi na kucomment mara kwa mara.
Kucomment kunawapa pesa.
Hawawezi kuondoa likes na dislikes.
Positive award ni addiction. Kuna mtu atakasirika kwakua anaona hapati likes kama zamani. Mwingine siku inaenda vyema akiona ame-quotiwa na watu wamelike post.
😂, Okay.Usiwashtue, h ishu sio kwa kila mtu