borncool
JF-Expert Member
- Jul 8, 2013
- 226
- 49
Nina mpenzi wangu sasa katika pilika za hapa na pale c amejikuta nimempa mimba,sasa yeye anadai hayuko ready kubak nayo akidai hayuko tayari kuwa mama bado sasa nimejtahd kumshawishi asitishe lengo lake baya yaani asiitoe nitailea haelewi.wadau nimfanye nini huyu mtu coz dhambi itanihusu kabisa