Ushauri jamani

Ushauri jamani

muulize kwa nn hayuko tayari inawezekana anaogopa wazazi rekebisheni tafadhali naapa mkimtoa huyo mtoto tumboni na ninyi mfe mfikirie kama na ninyi mngetolewa enzi hizo? ...................jamani au mnitafteni mnibebeshe hicho kiumbe kikizaliwa ntawapeni mwanenu plz i beg you......
 
si mfungea ndoa? mshahara wake utawasaidia unapomalizia chuo.msimuue mtoto wenu mzuri.
 
Kaka hebu njoo kwetu Sumbawanga tuna teknolojia ya kuhamishia mizigo kama hiyo kwa maboifrendi kama wewe....

Haaah! Hivyo tena majanga ni bora ubak kwake c kwangu tena
 
muulize kwa nn hayuko tayari inawezekana anaogopa wazazi rekebisheni tafadhali naapa mkimtoa huyo mtoto tumboni na ninyi mfe mfikirie kama na ninyi mngetolewa enzi hizo? ...................jamani au mnitafteni mnibebeshe hicho kiumbe kikizaliwa ntawapeni mwanenu plz i beg you......

Mmmmh. Ingekuwepo hiyo teknolojia hapo sawa
 
nanai kamwambia malengo ya millenium yanafikiwa toka yameanza mpaka leo........lengo langu huyo PRINCE/PRINCESS azaliwe hizo milenium goals ziache zilivyo
 
Z
 
Isitolewe kwa gharama yeyote, chukua nafasi yako ongea nae atakuelewa, tatizo hauonyeshi msimamo, akijijua una malengo nae atarelax.
 
Back
Top Bottom