Mimi nina binti ambaye tunapendana ila tatizo ni kwamba dini zetu ni tofauti ambapo mi ni Rc huku yeye ni mpentecoste. Nimejaribu kumshawishi kubadili dini amekataa eti anawaogopa wazazi wake na nafsi yake pia.
Sasa jamani naombeni ushauri nifanyeje mimi kwa upande wangu siwezi kubadili dini kwa vile nifsi yangu pamoja na familia yangu hawatanielewa!.
Sasa jamani naombeni ushauri nifanyeje mimi kwa upande wangu siwezi kubadili dini kwa vile nifsi yangu pamoja na familia yangu hawatanielewa!.