- Thread starter
- #21
Mkuu hiyo mbona simpo,akusindikize mkafunge ndoa Rc,then siku za ibada kila mtu akaabudu kanisani kwao.mimi ni morovian,wife rc,tulifunga ndoa rc na tuna watoto wawili.wote wamebatizwa morovian,and life goes on.
Asante!, sasa vp kuhusu ubatizo wa watoto morovian ulikubali ww mwenyewe au ulilazimishwa na yy? na vp ndugu zako hawakulalamika au kukushangaa kweli?