TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,791
- 2,078
Mara ya kwanza nakuja kuuliza nipate uzoefu wa wadau! Nina mpenzi wangu na huwa tunafanya mapenzi mara kwa mara. Yaani haipiti mwezi au miezi miwili bila kufanya. Lakini hapa Juzi kati kama kawaida yetu japo kimepita kipindi kirefu kidogo tangu tukutane nimeshangaa amebadili kilio au tuseme ule muhamaniko anaokuwa nao wakati tunafanya mapenzi. Huwa nimezoea "dia dia ahh! ooh! Asante,Am sorry Am sorry ooh dia dia! endelea hapo hapo! Am sorry Am sorry". Hayo ndio maneno huwa nimeyazoea tukiwa tunakong'oli. Lakini Juzi nimesikia hakuna dia dia ila Mpenzi wangu mara ikikolea anasema nsamehe mume wangu nanilipokuwa naendelea kukong'oli kunawakati akasema ooh Mpenzi wangu umepata hizi nguvu za ziada ooh Mume wangu na kuendelea. Nnachojiuliza maneno mume na mpenzi hajawahi kunitamkia wakati tunasex huwa ni dia tu. Sasa hayo katoa wapi?. Na pili kusema mbona leo nna nguvu za ziada nimetoa wapi wakati tunasex anatamka hayo maneno Yamenistua sana, ndio maana nataka kupata ushauri je ni kawaida ama kuna mtu mwingine wana mahusiano ambao wameahidiana kuoana kiasi kwamba wanaitana mume na mke?. Na je huenda labda huyo anayemuita mume au mpenzi wake hana nguvu kama zangu ndio mana akajisahau akasema nimetoa wapi nguvu za ziada?.